Wa kwanza kumkumbuka Kikwete

Wa kwanza kumkumbuka Kikwete

Ntakukumbuka kwa uzezeta wake mbka nchi kudaiwa madeni makubwa
 
nianzie toka 2006, namshukuru kwa kumteua mama sita kua wazri wa elimu mwaka huu ndipo nlifaulu kwenda advance shule ya gvt. Nkamaliza tena nkaenda chuo cha gvt, na boom juu, nkamaliza chuo japo nlisota nkapata kazi last yr serikalini, pia kuna ndugu yangu wengi wameajiriwa gvt, kama tpa, tanapa ndani ya kipindi chake...,.japo kuna madhaifu ila MUNGU ambariki sana
 
Kuboresha mishahara ya askari na kuondoa urasimu wakati wa kuajiriwa watu wa kada ya afya.
 
attachment.php


Ingawa makundi mbalimbali nchini yatamkumbuka sana, vyama vya upinzani vitakuwa kundi la kwanza kumkumbuka na kummiss Rais Kikwete.

Kikwete ni Rais pekee aliyeuvumilia, kuupa uhuru na kuupalilia upinzani njia ya kujiboresha. Iwapo wapinzani wangekuwa makini, wangenufaika sana na uhuru huu waliopewa.

Historia itamkumbuka Kikwete kama Rais aliye tayari kusikiliza mawazo tofauti hata yale yanayolenga kumshambulia. Wapinzani wameshindwa kutumia fursa hii kujipatia angalau 45% ya Bunge. Fursa adimu kama hii haitakuwepo tena kwenye awamu ya tano.

Tabasamu la Kikwete ambalo wapinzani aghalabu wamekuwa wakilikejeli ni miongoni mwa vitu watakavyovimiss sana wanapohutaji muafaka wa masuala ya kisiasa ya kitaifa. Hili litakuwa somo kuwa kitu hukithamini mpaka kitakapokosekana.

Uongozi wa awamu ya nne ulikuwa haupendi shuruti. Ulikuwa unatoa muda wa kufikiria. Ulikuwa unatoa nafasi ya kujirekebisha. Wapinzani walikuwa mbele kupinga aina hii ya uongozi. Kwa bahati, umekuja uongozi wa aina tofauti.

Mlichokiomba mmekipata...
Mimi na wengine wengi hatutammisi kwanza tunafurahi amemamaliza mda wake tulikuwa tumemchoka. Hatutammiss. Tummiss kwa lipi, EPA, Nawajua wafanya biashara was madawa ya kulevya. Walioiba hela za Epa warudishe. Jatutammisss.
 
Magufuli keshawaambia rais sasa ni magufuli
 
Naichukia ccm na wote walioumo. Hivyo Kikwete kakwamisha demokrasia kuchukua mkondo wake kwa chuki zake binafsi.
 
"Wanafunzi wa kike wanapata mimba sababu ya viherehere vyao"

Mwisho wa kunukuu .
 
Tutammisiss kwa kuwaajiri graduates wa Educatuin na Agriculture kila mwaka zaidi ya elfu 40, sasa wanaoanza kumaliza mwaka huu wajiandae! kama mlishindwa kuajiriwa kipindi cha JK
 
Amejitahidi kuinua maslahi ya.wafanyakazi.wa.serikali. Uhuru wa kutoa maoni ameuimarisha sana mfano Jamiiforum,mwanahalisi etc
Mwanadiplomasia aliyebobea, humbled na Wageni wengi wamekuja kuwekeza tanzania mfano kila kona.sasa kuna.wachina,waturuki,walebanoni wazungu ndio usiseme. Japo changamoto ambayo tunayo ni.uncontrolled immigration wa west africa waliochoka wengi nao wanakuja kutafuta mkate,sudanese,somalis,east asians etc. Hapa uhamiaji inabidi wafanyekazi ya ziada
 
Sababu ya matatizo huko Syria hawa watu tunategemea watajaa hata huku sio.Europe tuu. Bangladesh,nepalese nao.watajaa sana.kwenye upishi wa mahoteli. Hapa kazi ipo uhamiaji kwani hata kwao.hawa watu huwezi kwenda tuu kiholela huna mtaji eti unatafuta mkate
 
Amejitahidi kuinua maslahi ya.wafanyakazi.wa.serikali. Uhuru wa kutoa maoni ameuimarisha sana mfano Jamiiforum,mwanahalisi etc
Mwanadiplomasia aliyebobea, humbled na Wageni wengi wamekuja kuwekeza tanzania mfano kila kona.sasa kuna.wachina,waturuki,walebanoni wazungu ndio usiseme. Japo changamoto ambayo tunayo ni.uncontrolled immigration wa west africa waliochoka wengi nao wanakuja kutafuta mkate,sudanese,somalis,east asians etc. Hapa uhamiaji inabidi wafanyekazi ya ziada

Wafanyakazi wa nje siyo not wazawa
 
Lowassa hatamsahau kikwete duniani mpaka kesho ahera.
 
Sidhani kama tutapata raisi mzuri kama Kikwete ambaye always anatabasamu. Ametuachia nchi yetu na Amani.

Kwaheri Kikwete na Mungu akubariki.
 
Haya bwana na amani yako huku watu ni maskini wa kutupwa
 
Back
Top Bottom