Kuna wale huwa wanavuka lami kwa foleni... Mwache mbuzi aitwe mbuzi [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kojani
Huyu hata jela ya kuku haimfai atawafundisha wengine Tabia mbaya![]()
Huyu je
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na kweli hakuna mji mchafu kama dar kipindi cha mvuaWa Dar tupo bize kutapisha maliwato zetu,
Msimu wa mvua kama huu kwetu ni ahueni
huyu Wa tanga![]()
Huyu je
Huyu mbuzi lazma anacheti. Wanaojua kusoma na kuandika hawayawezi haya