Kuna wale huwa wanavuka lami kwa foleni... Mwache mbuzi aitwe mbuziKojani

Huyu hata jela ya kuku haimfai atawafundisha wengine Tabia mbaya![]()
Huyu je
Wa Dar tupo bize kutapisha maliwato zetu,
Msimu wa mvua kama huu kwetu ni ahueni
na kweli hakuna mji mchafu kama dar kipindi cha mvuahuyu Wa tanga![]()
Huyu je
Huyu mbuzi lazma anacheti. Wanaojua kusoma na kuandika hawayawezi haya