I am not a student, I need it for other causesRatiba ipo nenda kwa H.O.D wako atakupa
AFYA PARTICULARLY CLINICAL MEDICINEVyuo vya nacte siku hizi vinatofautiana ratiba kutokana na kozi zao. Ni vyuo vya kozi ipi unataka kujua?
Nadhani mwezi wa nane au tisaAFYA PARTICULARLY CLINICAL MEDICINE
According to NACTVET calendar inasema kuwa itafunga after semester oneVya Afya hawafungi, wanaenda field wakimaliza mitihani ya first semester wakirudi wanaanza second semester, wakimaliza Mwaka ndio watafunga Ile likizo ndefu.