Vyuo vinavyoongoza kwa matumizi ya ''Smart Phone'' vyatajwa

Uko wapi mkuu na unawazidi nini waliosoma IFM na CBE sometimes ukiwa na elimu basi angalau itumie vizuri na kwa busara
Hao IFM na CBE wanazitumia kwa kuangalia mambo ya kitoto kama wao walivyo na mambo ya kitoto...Ila kwa UDSM kielimu zaidi...!
 
Duh! Kwa hiyo ukipata demu CBE au IFM jipange mzinga wa smartphone!!!

Halafu smartphones zikifikisha mwaka hazijabadilishwa zinajizima, zingine zinajipasua vioo kila baada ya miezi miwili. In short they don't last long.
 
Wakati zikitangazwa nchi zenye matumizi makubwa ya Smart phone Africa na Tanzania kushika nafasi ya pili nyuma ya Nigeria, Pia imetolewa chati inayoonyesha matumizi ya simu za kisasa (smart phones) katika vyuo vya elimu ya Juu nchini, huku chuo cha CBE kikitajtwa kuwa na matumizi makubwa ya Smartphone ambapo wanafunzi wenye Smartphone ni asilimia 89.7.

ORODHA KAMILI HII HAPA!

1.CBE
2.IFM
3.SAUT-Mwanza
4.UDSM
5.IMTU
6.UDOM
7.MUHIMBILI
8.TUMAINI-Iringa
9.SUA
10.ARDHI
11.MIPANGO-Dodoma
12.DIT
13.BUGANDO
14.KAMPALA
15.ST.JOHN-Dodoma
16.RUCO
17.KCMC
18.JORDAN UNIVERSITY
19.MUCCOBS-Moshi
20.MAKUMIRA BIBLE SCHOOL

My Take: Watuletee na majina ya vyuo vinavyotoa wanafunzi bora watakaoleta ushindani katika soko la ajira Afrika mashariki na duniani kwa ujumla.

SOURCE: Habari Leo

jamani kile chuo cha ile dini yetu hakipo kweli, huu ni mfumo kristo! tuandamane
 
jamani kile chuo cha ile dini yetu hakipo kweli, huu ni mfumo kristo! tuandamane


Wacha upimbi wewe...hivi huwa unajisikiaje watu wakianza kutukanana na kutoleana lugha za kejeli humu ndani?? Hii dunia iko na waajabu sana mmoja wao akiwa ni wewe.
 
[QUOTchakii;9887764]Wakati zikitangazwa nchi zenye matumizi makubwa ya Smart phone Africa na Tanzania kushika nafasi ya pili nyuma ya Nigeria, Pia imetolewa chati inayoonyesha matumizi ya simu za kisasa (smart phones) katika vyuo vya elimu ya Juu nchini, huku chuo cha CBE kikitajtwa kuwa na matumizi makubwa ya Smartphone ambapo wanafunzi wenye Smartphone ni asilimia 89.7.

ORODHA KAMILI HII HAPA!

1.CBE
2.IFM
3.SAUT-Mwanza
4.UDSM
5.IMTU
6.UDOM
7.MUHIMBILI
8.TUMAINI-Iringa
9.SUA
10.ARDHI
11.MIPANGO-Dodoma
12.DIT
13.BUGANDO
14.KAMPALA
15.ST.JOHN-Dodoma
16.RUCO
17.KCMC
18.JORDAN UNIVERSITY
19.MUCCOBS-Moshi
20.MAKUMIRA BIBLE SCHOOL

My Take: Watuletee na majina ya vyuo vinavyotoa wanafunzi bora watakaoleta ushindani katika soko la ajira Afrika mashariki na duniani kwa ujumla.

SOURCE: Habari Leo[/QUOTE]




Upuzi mtupu!! Wakati wasomi wa nchi za wenzetu wakiwa labs na sehemu nyingine za kufanyia research za maana na zenye manufaa si tunakaa kushabikia na kufanya research za kifala zisizokuwa na umuhimu wowote...ufala huo.
 
Ndiyo maana wanasema mkopo hautoshi kumbe ndiyo wanafanya matumizi ya kumiliki smartphone.siku wakiandamana wakililia mkopo ffu wawe wanapiga na kuwang'ata kwa meno kama alivyofanya suerez.
 
Vile vileee, tukumbuke na hili..
Madhara ya ujio wa simu especially smart ones...
...1. kuua soko la tochi
2. kuua soko la radio ndogo za mkononi
3. kuua biashara ya internet cafe
4. kuua soko la camera
5.kuua soko la atlas (ramani)
..........
..........
hebu ongezea zako
Kuua soko la saa za mikononi kama seiko 5 , motima n.k
 
Back
Top Bottom