Vyuo vikuu nchini haviwatendei haki wasabato??

Vyuo vikuu nchini haviwatendei haki wasabato??

Kasomeko

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2018
Posts
549
Reaction score
977
Habari wana jamii!

Zikiwa zimebaki siku chache tu kabla ya kufanyika kwa mahafari ya kuhitimu chuo kikuu, nina sikitika kuona kwamba rafiki zangu wengi wasabato hawachangamki kabisa.

Jana tumetoka kulipia majoho lakini nikashangaa kuona rafiki zangu wasabato hawalipii (siowote) na sababu kubwa ya kutolipia ni kwamba sherehe hiyo ya kuhitimu chuo inafanyika siku ya jumamosi ambayo ni siku yao ya kuabudu.

Idadi kubwa ya vyuo vikuu nchini hapa hufanya sherehe hizi siku ya jumamosi hivyo kuwanyima nafasi ya kushiriki ndg zetu hawa wasabato.

Na ninyi wasabato mje hapa mtuambie ubaya wa kushiriki siku ya jumamosi maana kwa mtizamo wangu siku hiyo hufanyi kazi ni sawa na kupumzika kabisa huku ukifrahia kujumuika na wenzako.

Karibuni tueleweshane.
 
Pia haviwatendei haki Waislamu kwa kuendelea na shughuli zake kama kawaida siku za Ijumaa??

Tume ya uchaguzi pia haiwatendei haki wakristo kwa kufanya uchaguzi siku za Jumapili?

Kwahiyo Serikali pia haitutendei haki wanandoa maana tulipaswa tupumzike siku ya Jumatatu??
 
Kuna siku moja chuo lecture wetu, ijumaa ratiba yake inakuwa tight sababu ana vipindi viwili alafu ostazi, akapanga test Jumamosi Wasabato wakalalamika sana. Jamaa kwa kuwa mpole akatunga mitihani miwili, mmoja Jumamosi, mwengine Ijumaa. Sasa huo mtihani wa Ijumaa ulikuwa wa motoo akawambia, ukiona mtihani mgumu njoo Jumamosi, ufanye na wenzio wakanyanyuka mmoja mmoja, Jumamosi tukafanya nao test. Tokea siku hiyo heshima na adabu.
 
Pia haviwatendei haki Waislamu kwa kuendelea na shughuli zake kama kawaida siku za Ijumaa??

Tume ya uchaguzi pia haiwatendei haki wakristo kwa kufanya uchaguzi siku za Jumapili?

Serikali pia haitutendei haki wanandoa maana tulipaswa tupumzike siku ya Jumatatu.

Visabato masalia vina lalamika kama makalio ya konki konki...
Tukiendekeza hivi basi kila mtu hata tendewa haki
 
Pia haviwatendei haki Waislamu kwa kuendelea na shughuli zake kama kawaida siku za Ijumaa??

Tume ya uchaguzi pia haiwatendei haki wakristo kwa kufanya uchaguzi siku za Jumapili?

Serikali pia haitutendei haki wanandoa maana tulipaswa tupumzike siku ya Jumatatu.

Visabato masalia vina lalamika kama makalio ya konki konki...
Ahsante
 
Kuna siku moja chuo lecture wetu, ijumaa ratiba yake inakuwa tight sababu ana vipindi viwili alafu ostazi, akapanga test Jumamosi Wasabato wanalalamika sana. Jamaa kwa kuwa mpole akatunga mitihani miwili, mmoja Jumamosi, mwengine ijumaa. Sasa huo mtihani wa ijumaa ulikuwa wa motoo akamwambia, ukiona mtihani mgumu njoo Jumamosi, ufanye na wenzio wakanyanyuka mmoja mmoja, Jumamosi tukafanya nao test. Tokea siku hiyo heshima na adabu.
Inaitwa komoa nikukomoe
 
Kuna siku moja chuo lecture wetu, ijumaa ratiba yake inakuwa tight sababu ana vipindi viwili alafu ostazi, akapanga test Jumamosi Wasabato wanalalamika sana. Jamaa kwa kuwa mpole akatunga mitihani miwili, mmoja Jumamosi, mwengine ijumaa. Sasa huo mtihani wa ijumaa ulikuwa wa motoo akamwambia, ukiona mtihani mgumu njoo Jumamosi, ufanye na wenzio wakanyanyuka mmoja mmoja, Jumamosi tukafanya nao test. Tokea siku hiyo heshima na adabu.
Hahaha kwaiyo sabato ikageuka siku ya mtihani
 
Pia haviwatendei haki Waislamu kwa kuendelea na shughuli zake kama kawaida siku za Ijumaa??

Tume ya uchaguzi pia haiwatendei haki wakristo kwa kufanya uchaguzi siku za Jumapili?

Serikali pia haitutendei haki wanandoa maana tulipaswa tupumzike siku ya Jumatatu.

Visabato masalia vina lalamika kama makalio ya konki konki...
Baba ume maliza kila kitu
 
Pia haviwatendei haki Waislamu kwa kuendelea na shughuli zake kama kawaida siku za Ijumaa??

Tume ya uchaguzi pia haiwatendei haki wakristo kwa kufanya uchaguzi siku za Jumapili?

Serikali pia haitutendei haki wanandoa maana tulipaswa tupumzike siku ya Jumatatu.

Visabato masalia vina lalamika kama makalio ya konki konki...
Mkuu akili zako unazijua mweyewe.Nimecheka sana HADI nimepiga ishara ya msalaba.
 
Kuna siku moja chuo lecture wetu, ijumaa ratiba yake inakuwa tight sababu ana vipindi viwili alafu ostazi, akapanga test Jumamosi Wasabato wanalalamika sana. Jamaa kwa kuwa mpole akatunga mitihani miwili, mmoja Jumamosi, mwengine ijumaa. Sasa huo mtihani wa ijumaa ulikuwa wa motoo akamwambia, ukiona mtihani mgumu njoo Jumamosi, ufanye na wenzio wakanyanyuka mmoja mmoja, Jumamosi tukafanya nao test. Tokea siku hiyo heshima na adabu.
Hahahah Huyo lecturer ni konki sana ana hekima kama za mfalme suleiman akaona atumie mbinu za kiintelejensia kuwakomesha

#DG
 
Pia haviwatendei haki Waislamu kwa kuendelea na shughuli zake kama kawaida siku za Ijumaa??

Tume ya uchaguzi pia haiwatendei haki wakristo kwa kufanya uchaguzi siku za Jumapili?

Serikali pia haitutendei haki wanandoa maana tulipaswa tupumzike siku ya Jumatatu.

Visabato masalia vina lalamika kama makalio ya konki konki...
Usipende kututakana wenzako mzee watu wanaiman zao so kuwambia wenzako nimakalio bt endelea kuomba uzma
 
Pia haviwatendei haki Waislamu kwa kuendelea na shughuli zake kama kawaida siku za Ijumaa??

Tume ya uchaguzi pia haiwatendei haki wakristo kwa kufanya uchaguzi siku za Jumapili?

Serikali pia haitutendei haki wanandoa maana tulipaswa tupumzike siku ya Jumatatu.

Visabato masalia vina lalamika kama makalio ya konki konki...
Kweli ndugu yangu
 
Ibad
Habari wana jamii!

Zikiwa zimebaki siku chache tu kabla ya kufanyika kwa mahafari ya kuhitimu chuo kikuu, nina sikitika kuona kwamba rafiki zangu wengi wasabato hawachangamki kabisa.

Jana tumetoka kulipia majoho lakini nikashangaa kuona rafiki zangu wasabato hawalipii (siowote) na sababu kubwa ya kutolipia ni kwamba sherehe hiyo ya kuhitimu chuo inafanyika siku ya jumamosi ambayo ni siku yao ya kuabudu.

Idadi kubwa ya vyuo vikuu nchini hapa hufanya sherehe hizi siku ya jumamosi hivyo kuwanyima nafasi ya kushiriki ndg zetu hawa wasabato.

Na ninyi wasabato mje hapa mtuambie ubaya wa kushiriki siku ya jumamosi maana kwa mtizamo wangu siku hiyo hufanyi kazi ni sawa na kupumzika kabisa huku ukifrahia kujumuika na wenzako.

Karibuni tueleweshane.
Ibada ni shughuli takatifu sio rahisi kuacha ku attend huduma takatifu kwa sababu ya sherehe tu bora ingekuwa msiba
 
Pia haviwatendei haki Waislamu kwa kuendelea na shughuli zake kama kawaida siku za Ijumaa??

Tume ya uchaguzi pia haiwatendei haki wakristo kwa kufanya uchaguzi siku za Jumapili?

Serikali pia haitutendei haki wanandoa maana tulipaswa tupumzike siku ya Jumatatu.

Visabato masalia vina lalamika kama makalio ya konki konki...
Mungu akusamehe Hujui ulisemalo
 
Land ww itakua umemuelewa vibaya coz ametumia neno matako tena sio ivo amesama vijisabato so kama unaona ww umemuelewa vzr bc nijambo zur mzee baba
Itakuwa simu yake inatype vibaya.Kama weye ulivyotype.Ila kama kaandika hivyo nimemkemea pepo limtoke mkuu.
 
Back
Top Bottom