Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,626
- 18,227
Sijawahi kuona professor wa kikongo toka nimezaliwa, nawaona wanenguaji tu! Na wanaojichubua.
Kama Ni kweli mbona hatuwaoni kwenye kazi ma ofisin huku kwenye jumuiya ya Africa mashariki sanasana tunawaona bize kusuka dada zetu na kusafisha Kucha. nataka kuanzisha saluni kama vp niku PM unisaidie kutafuta wanaume wa 3, waje kusuka wateja hapa
Sijawahi kuona professor wa kikongo toka nimezaliwa, nawaona wanenguaji tu! Na wanaojichubua.
View attachment 265692
hapo ni gombe kinshasa kamera yangu imechukua picha hii nikiwa ndani ya gari... barabara za kinshasa nzuri hasa ila huku mikoani hali mbaya...kwa aliefika miji kama bukavu na goma anikanushe hapa ma engineer wa ujenzi wko vizuri sana jamaa nyumba zao nzuri sana .... kwa tanzania sijaona art kama ya hapa,,, wacha hizo za vio za wachina hapa wacongo wenyewe wanajenga hizi nyumba
walio soma Mlimani wanamkumbuka Prof wamba dia wamba,, ni mkongo na amefundisha Mlimani
Unasema ni kwa vile huwajui wacongo,, hata hao wanamusic ambao ni sehemu ndogo tu kwenye population ya watu zaidi ya mil 70 wengi waoo wasomi kabisa tafuta profile zao.... hata mimi nilijua mcongo zake ni ku dance nilijidanganya... kwanza hao unaowaita UN wako huku Estern Congo kuna sehemu kubwa ya kongo tulivu na UN hawako huko, ila kwa vile wewe una diploma ya ubishi nibishie tu
View attachment 265692
hapo ni gombe kinshasa kamera yangu imechukua picha hii nikiwa ndani ya gari... barabara za kinshasa nzuri hasa ila huku mikoani hali mbaya...kwa aliefika miji kama bukavu na goma anikanushe hapa ma engineer wa ujenzi wko vizuri sana jamaa nyumba zao nzuri sana .... kwa tanzania sijaona art kama ya hapa,,, wacha hizo za vio za wachina hapa wacongo wenyewe wanajenga hizi nyumba
Hata mimi nilikuwa na mawazo hayo hayo! Baadae kabisa ndio ndio nilikuja kumbana na baadhi ya wakongomani ambao ni wakali sana katika masuala ya sayansi na technolojia-kun mmoja niliwahi kufany na kaz kw muda alikuwa ameajiliwa Umoja wa Mataifa (UNCTAD)huko Geneva Uswiss jamaa huyo alikuwa anategemewa sana ku-code programs za kutrack meli na rollingstock za makampuni mengi Duniani, tangu wakati huo niliacha kasumba ya kufikili wakongomani wote ni watu wa starehe tu! Chuo kikuu cha Dar kiliwahi kuwa na Profesa Wamba dia Wamba ambaye ni Mkongo, Kofi Olomide ana degree ya hesabu au uchumi kama sikosei-kwa hiy Cong wasom wapo
wewe kumbe uko usingizini,, wao hawako east africa,, ila ukienda sentral africa republic wako kule na jeshi lao limesaidia sana kule.... kwani mimi kaka yako unajua nafanya nini huku.... ukitoka kwa wazazi wako unafanya chochote... nitakutumia picha za miji ya congo then ulinbganishe na tz...... hao unaowaona mwenge ni dot kwa population ya watu mil70
Mbali na Prof. wa Historia WAMBA DIA WAMBA sijawahi kumsikia Mkongo msomi zaidi. hata kwenye mikutano ya kimataifa ni ngumu kuwasikia/kuwaona