connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 1,736
- 2,297
Wewe si ndiye connections? unalia nini sasa eboo!Jaman mtuonee huruma tuna familia zinatutegemea au kwa sababu tumesomea PhD in Theology?
Saut Arusha wanatoa kozi ya sheria?Vyuo tajwa vipo hoi kifedha mathalani SAUT Tawi la Arusha hatujalipwa mwezi wa tatu sasa. St. John's centre ya Kigoma imefungwa kwa kukosa wanafunzi. Hakika twafwa na elimu yetu ya kuunga-unga.
**Twende wapi na tumesoma vyuo vya kanisa pale UDSM hawatupi hata kazi ya ulinzi
Acha chuki zako hizo kwani hapo kimetajwa?Jamaa zetu Msamvu hali yao sijui ipoje
Bsc. in African Witchcraftila kusema kweli chuo Kigoma cha nini?