Kama una mpango wa kuomba kusoma pharmacy,omba vyuo vifuatavyo:
1. Muhimbili ( Muhas)
2. Bugando ( Cuhas) cha wakatoliki
3. Bugando ( Mwachas) cha
serikali
4. KSP kipo KCMC Moshi
5. Udom
6. Mtwara Cohas
7. Tabora Cohas
Vyuo vingine go at your own risk!
Utahangaika sana hasa utakapokuja kufanya mitihani ya leseni.Watu wengi wapo mtaani hawana leseni ingawa wamesoma diploma ya pharmacy.
Ukikosa hivyo vyuo ni bora usome kozi nyingine ya afya ama uende VETA utanikumbuka baadae.
Vyuo vingi vya pharmacy vimejaa ubabaishaji na ni miradi ya watu kupiga hela za wajinga ukiwepo wewe unayeomba kusoma chuo kwa sababu kimetangazwa mtandaoni.
Kwa hivyo vyuo hapo hutaona tangazo lao wakijitangaza mtandaoni.Kizuri chajiuza.
1. Muhimbili ( Muhas)
2. Bugando ( Cuhas) cha wakatoliki
3. Bugando ( Mwachas) cha
serikali
4. KSP kipo KCMC Moshi
5. Udom
6. Mtwara Cohas
7. Tabora Cohas
Vyuo vingine go at your own risk!
Utahangaika sana hasa utakapokuja kufanya mitihani ya leseni.Watu wengi wapo mtaani hawana leseni ingawa wamesoma diploma ya pharmacy.
Ukikosa hivyo vyuo ni bora usome kozi nyingine ya afya ama uende VETA utanikumbuka baadae.
Vyuo vingi vya pharmacy vimejaa ubabaishaji na ni miradi ya watu kupiga hela za wajinga ukiwepo wewe unayeomba kusoma chuo kwa sababu kimetangazwa mtandaoni.
Kwa hivyo vyuo hapo hutaona tangazo lao wakijitangaza mtandaoni.Kizuri chajiuza.