Ada za vyuo vya afya Tanzania kwa ngazi ya shahada ya kwanza (degree)

Harnandez

JF-Expert Member
Jun 29, 2015
408
344
Ikumbukwe kua Hotuba iliyo tolewa na Mh. Rais dkt John Magufuli pamoja na waziri wa elimu Prof. Joyce Ndalichako wamejipanga kutoa vipaumbele kwa sayansi lakini hii imekua kinyume na Tanzania medical school wakati bodi ya mikopo kila siku inatangaza mikopo inayotolewa kwa 100% basis ni ya Fani za afya imekua sivyo kwa vyuo vya private.

Ikumbukwe serikali ina medical school moja tu Muhimbili(MUHAS) na Udom na UDSM MD peke yake lakini vyuo vya private serikali inachangia 3.1M na siyo asilimia 100 kama wanavyodai vyuo hivi vua afya vimekua na ada kubwa ambao umegeuka mzigo kwa wanafunzi wa udaktari na kozi nyingine za afya vyuo kama KCMC ada ni 4.65million, IMTU ada ni 6.25million BUGANDO(CUHAS) ada ni 5.35 millions KAIRUKI (HKMU) 6.45 millions hivyo ni baadhi tu Vinatoza ada kubwa inayo wasumbua wanafunzi wengine wanaamua kuacha masomo


SASA serikali imeamua kua Muhimbili ndo chuo pekee na vingine siyo au maake watu mwaka wa tano, wa nne na hasa hasa mwaka wa kwanza wanalia huku vyuoni ada kubwa na wazazi wanashindwa kuhimili naomba sana serikali kupitia bodi ya mikopo itoe angalau ruzuku iongeze fedha kwanza medical school ni ndogo mno hazizidi hata 10.

chonde chonde angalieni swala la ada kwa wale wanaoendelea na wanaokuja muwape mkopo asilimia 100 kweli siyo mambo ya kuangalia ada za serikali wakati vyuo vya afya vya serikali hakuna. Wanafunzi wasio na ada huondolewa na kuzuiwa kutofanya mitihani na kwenye midicine ni very complicated unaweza uka sup au ukarudia mwaka na kuongeza gharama

Mama Ndalichako naomba uhakikishe hawa wanaokuja kujiunga na ambao tayari wako shule wapunguzie uzito maake wote wapo kusoma kwa ajili ya wananchi wa Tanzania na kuitumikia jamhuri ya muungano

Nawasilisha
 
Yani acha tu ni mateso asilimia mia lakini unakuta bado unatakiwa u top up hela karibu ya kulipia kozi chuo kingine jamani hii medicine ni witoooooo watulipie yote jamani twateseka
 
Kwa hali hii mimi masikini imekula kwangu, kama vipi japo Ualimu Sayansi.
 
Mimi nilichaguliwa imtu hivyo sikuweza kuhimili ada, hivyo niliarisha masomo. Nimesoma CBG 2015 ndio nilihitimu na nikapata merit ya 3.3
 
Mimi nilichaguliwa imtu hivyo sikuweza kuhimili ada, hivyo niliarisha masomo. Nimesoma CBG 2015 ndio nilihitimu na nikapata merit ya 3.3
Wakati watu wenye merit wanakosa kusoma kwa sababu ya ada serikali iseme kwani kusomea udaktari au nursing ni dhambi ambayo inatafuna familia za kimaskini au???? Hizi ada obviously kwa familia ya kawaida mtu ana one hawezi kabisa matokeo yake tunapoteza watu wengi wenye sifa stahiki na hata wale waliopo WENGI WAO huishia kati kutokana na ada
 
Yani acha tu ni mateso asilimia mia lakini unakuta bado unatakiwa u top up hela karibu ya kulipia kozi chuo kingine jamani hii medicine ni witoooooo watulipie yote jamani twateseka
Yaan ada za vyuo vya afya unaweza soma kozi za engineering mpaka masters yaan imagine you spend five years paying 6.25M jamani serikali iangalie kwa kina jinsi ya kutoa ruzuku kwa hivi vyuo vya BUGANDO, IMTU, KCMC, KAIRUKI au na wasimkopeshe mtu bali watoe ruzuku kwasababu wakikukopesha hizo milion 60 karibia utazilipa na nini......
 
Ikumbukwe kua Hotuba iliyo tolewa na Mh. Rais dkt John Magufuli pamoja na waziri wa elimu Prof. Joyce Ndalichako wamejipanga kutoa vipaumbele kwa sayansi lakini hii imekua kinyume na Tanzania medical school wakati bodi ya mikopo kila siku inatangaza mikopo inayotolewa kwa 100% basis ni ya Fani za afya imekua sivyo kwa vyuo vya private ikumbukwe serikali ina medical school moja tu Muhimbili(MUHAS) na Udom na UDSM MD pekeyake lakini vyuo vya private serikali inachangia 3.1M na siyo asilimia 100 kama wanavyodai vyuo hivi vua afya vimekua na ada kubwa ambao umegeuka mzigo kwa wanafunzi wa udaktari na kozi nyingine za afya vyuo kama KCMC ada ni 4.65million, IMTU ada ni 6.25million BUGANDO(CUHAS) ada ni 5.35 millions KAIRUKI (HKMU) 6.45 millions hivyo ni baadhi tu Vinatoza ada kubwa inayo wasumbua wanafunzi wengine wanaamua kuacha masomo


SASA serikali imeamua kua Muhimbili ndo chuo pekee na vingine siyo au maake watu mwaka wa tano, wa nne na hasa hasa mwaka wa kwanza wanalia huku vyuoni ada kubwa na wazazi wanashindwa kuhimili naomba sana serikali kupitia bodi ya mikopo itoe angalau ruzuku iongeze fedha kwanza medical school ni ndogo mno hazizidi hata 10 chonde chonde angalieni swala la ada kwa wale wanaoendelea na wanaokuja muwape mkopo asilimia 100 kweli siyo mambo ya kuangalia ada za serikali wakati vyuo vya afya vya serikali hakuna. Wanafunzi wasio na ada huondolewa na kuzuiwa kutofanya mitihani na kwenye midicine ni very complicated unaweza uka sup au ukarudia mwaka na kuongeza gharama

Mama Ndalichako naomba uhakikishe hawa wanaokuja kujiunga na ambao tayari wako shule wapunguzie uzito maake wote wapo kusoma kwa ajili ya wananchi wa Tanzania na kuitumikia jamhuri ya muungano

Nawasilisha

Umesahau kitu kimoja baadhi ya hivyo vyuo wanachaji ada yao in terms of dollars kwa hyo ada utakayolipa mwaka huu usitegemee itakuwa hivyo mwakani
 
Umesahau kitu kimoja baadhi ya hivyo vyuo wanachaji ada yao in terms of dollars kwa hyo ada utakayolipa mwaka huu usitegemee itakuwa hivyo mwakani
Ahsante ila chuo kilichokua kina charge in dollars ilikua ni IMTU na mwaka 2013 iliamriwa ada ilipwe kwa shilling so kuanzia mwaka huo ada inalipwa kwa pesa ya kitanzania ila usemacho ni kweli tupu. Mungu aiongoze nchi hii
 
Yaan kama unaona mamilioni hayo huyawezi jiandae ualimu utakuhusu tu hakuna namna

Yaan ada za vyuo vya afya unaweza soma kozi za engineering mpaka masters yaan imagine you spend five years paying 6.25M jamani serikali iangalie kwa kina jinsi ya kutoa ruzuku kwa hivi vyuo vya BUGANDO, IMTU, KCMC, KAIRUKI au na wasimkopeshe mtu bali watoe ruzuku kwasababu wakikukopesha hizo milion 60 karibia utazilipa na nini......

Wakati watu wenye merit wanakosa kusoma kwa sababu ya ada serikali iseme kwani kusomea udaktari au nursing ni dhambi ambayo inatafuna familia za kimaskini au???? Hizi ada obviously kwa familia ya kawaida mtu ana one hawezi kabisa matokeo yake tunapoteza watu wengi wenye sifa stahiki na hata wale waliopo WENGI WAO huishia kati kutokana na ada
Tukitoa asilimia 100, tutakosa walimu wa Sayansi. Nawaza tu lakini.
 
Tukitoa asilimia 100, tutakosa walimu wa Sayansi. Nawaza tu lakini.
Ila wamesema watatoa 100 kwa walimu wa science na afya alafu ualimu degree ni miaka 3 ila afya degree zake ni miaka 5 sasa imagine miaka yote hiyo and you are paying 6.3 million akati ada ya ualimu kwa mwaka ni around 2M sisemi kwamba waalimu wasipewe pesa lakini we mwenyewe pima uzito na by the way vyuo vya afya ni vichache mno na vinachukua wanafunzi wachache mno mfano MUHAS na ukubwa wote ina chuka around 400 students kwa faculty zote kwa mwaka, Bugando inachukua 250 kwa faculty zote kwa mwaka so its just serikali iangalie kuadjust maake watu wenyewe sio wengi
 
St John's University wanachaji ada ambayo ipo ndani ya mkopo wa heslb, degree ya pharmacy ni 3 million na nursing ni 2.5 million. Kwa kweli inabidi serikali ijitahidi kuongeza mkopo kwa wanafunzi wa afya la sivyo hizi kozi watasoma watoto wa matajiri tu. hali ya sasa Ukikosa nafasi muhas, udom, udsm, St John, sfuchas na ajuco basi jiandae kuongeza ada mbali na mkopo katika vyuo vingine vilivyobakia
 
St John's University wanachaji ada ambayo ipo ndani ya mkopo wa heslb, degree ya pharmacy ni 3 million na nursing ni 2.5 million. Kwa kweli inabidi serikali ijitahidi kuongeza mkopo kwa wanafunzi wa afya la sivyo hizi kozi watasoma watoto wa matajiri tu. hali ya sasa Ukikosa nafasi muhas, udom, udsm, St John, sfuchas na ajuco basi jiandae kuongeza ada mbali na mkopo katika vyuo vingine vilivyobakia
Vyuo kama st john kina nursing na pharmacy, st francis ni MD tu, ajuco ni MD tu, lakini kwa hizi medical school zenye kozi nying kama Bugando, IMTU, KCMC, KAIRUKI inekua tabu tupu serikali iseme tu easome matajiri basi maskini tiendelee kua na division two zetu za PCB ila medicine tinaisikia tu kwenye bomba
 
Ikumbukwe kua Hotuba iliyo tolewa na Mh. Rais dkt John Magufuli pamoja na waziri wa elimu Prof. Joyce Ndalichako wamejipanga kutoa vipaumbele kwa sayansi lakini hii imekua kinyume na Tanzania medical school wakati bodi ya mikopo kila siku inatangaza mikopo inayotolewa kwa 100% basis ni ya Fani za afya imekua sivyo kwa vyuo vya private.

Ikumbukwe serikali ina medical school moja tu Muhimbili(MUHAS) na Udom na UDSM MD peke yake lakini vyuo vya private serikali inachangia 3.1M na siyo asilimia 100 kama wanavyodai vyuo hivi vua afya vimekua na ada kubwa ambao umegeuka mzigo kwa wanafunzi wa udaktari na kozi nyingine za afya vyuo kama KCMC ada ni 4.65million, IMTU ada ni 6.25million BUGANDO(CUHAS) ada ni 5.35 millions KAIRUKI (HKMU) 6.45 millions hivyo ni baadhi tu Vinatoza ada kubwa inayo wasumbua wanafunzi wengine wanaamua kuacha masomo


SASA serikali imeamua kua Muhimbili ndo chuo pekee na vingine siyo au maake watu mwaka wa tano, wa nne na hasa hasa mwaka wa kwanza wanalia huku vyuoni ada kubwa na wazazi wanashindwa kuhimili naomba sana serikali kupitia bodi ya mikopo itoe angalau ruzuku iongeze fedha kwanza medical school ni ndogo mno hazizidi hata 10.

chonde chonde angalieni swala la ada kwa wale wanaoendelea na wanaokuja muwape mkopo asilimia 100 kweli siyo mambo ya kuangalia ada za serikali wakati vyuo vya afya vya serikali hakuna. Wanafunzi wasio na ada huondolewa na kuzuiwa kutofanya mitihani na kwenye midicine ni very complicated unaweza uka sup au ukarudia mwaka na kuongeza gharama

Mama Ndalichako naomba uhakikishe hawa wanaokuja kujiunga na ambao tayari wako shule wapunguzie uzito maake wote wapo kusoma kwa ajili ya wananchi wa Tanzania na kuitumikia jamhuri ya muungano

Nawasilisha
😫😫😫😫😫
 
Ikumbukwe kua Hotuba iliyo tolewa na Mh. Rais dkt John Magufuli pamoja na waziri wa elimu Prof. Joyce Ndalichako wamejipanga kutoa vipaumbele kwa sayansi lakini hii imekua kinyume na Tanzania medical school wakati bodi ya mikopo kila siku inatangaza mikopo inayotolewa kwa 100% basis ni ya Fani za afya imekua sivyo kwa vyuo vya private.

Ikumbukwe serikali ina medical school moja tu Muhimbili(MUHAS) na Udom na UDSM MD peke yake lakini vyuo vya private serikali inachangia 3.1M na siyo asilimia 100 kama wanavyodai vyuo hivi vua afya vimekua na ada kubwa ambao umegeuka mzigo kwa wanafunzi wa udaktari na kozi nyingine za afya vyuo kama KCMC ada ni 4.65million, IMTU ada ni 6.25million BUGANDO(CUHAS) ada ni 5.35 millions KAIRUKI (HKMU) 6.45 millions hivyo ni baadhi tu Vinatoza ada kubwa inayo wasumbua wanafunzi wengine wanaamua kuacha masomo


SASA serikali imeamua kua Muhimbili ndo chuo pekee na vingine siyo au maake watu mwaka wa tano, wa nne na hasa hasa mwaka wa kwanza wanalia huku vyuoni ada kubwa na wazazi wanashindwa kuhimili naomba sana serikali kupitia bodi ya mikopo itoe angalau ruzuku iongeze fedha kwanza medical school ni ndogo mno hazizidi hata 10.

chonde chonde angalieni swala la ada kwa wale wanaoendelea na wanaokuja muwape mkopo asilimia 100 kweli siyo mambo ya kuangalia ada za serikali wakati vyuo vya afya vya serikali hakuna. Wanafunzi wasio na ada huondolewa na kuzuiwa kutofanya mitihani na kwenye midicine ni very complicated unaweza uka sup au ukarudia mwaka na kuongeza gharama

Mama Ndalichako naomba uhakikishe hawa wanaokuja kujiunga na ambao tayari wako shule wapunguzie uzito maake wote wapo kusoma kwa ajili ya wananchi wa Tanzania na kuitumikia jamhuri ya muungano

Nawasilisha
🥺😫
 
Back
Top Bottom