MUHAS na CUHAS ndio vyuo bora pekee vya Afya Tanzania

Megalodon

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,479
4,580
Wakati nipo Ocean Road nikiwa TZ , nimefanya kazi na products mbalimbali kutoka vyuo tofauti, wapo wanafunzi kama intern wakiwa madaktari ambao we were training them, wengine wafamasia au nurses ….based on the experience, students from MUHAS and CUHAS were the best doctors , pharmacist and nurses .

Wanafunzi kutoka vyuo tofauti na hivyo, ni majanga makubwa unajiuliza wewe unaendaje kutibu watu au unaendaje ku deal na dawa za binadamu?

Una mwambia prospective doctor achukue pathologic history, unabaki unashika kichwa, you meet a pharmacist anamwambia mgonjwa umeze Gynozol mbili mara tatu , shame ! ( gynozol is a medication need to be inserted through vagina).

Ukiuliza umesoma wapi utaambiwa ……..,,,vyuo fulan Fulani hivi na vile vyuo ambavyo unaambiwa chuo kipo gorofa ya nne

Ni kawaida siku hizi student with Flat D akawa enrolled kwenye medical field , it is a shame CCM inaenda kuharibu hadi mfumo wa elimu ya Afya,

tuna madaktari very low intelligence can’t even reason , we have pharmacist and nurses who cannot even notice medication errors zinazokuwa committed by doctors .

Ikiwa mtu mwenye D anaenda kusoma kozi za Afya , we need to go back kwenye drawing table or else let’s all perish.

Kwa ufaulu wa sasa, kama hauna C and above ilitakiwa usiruhusiwe kusoma course za Afya level ya Diploma , watanzania wanaangamia, ever wondered why now days magonjwa ya matajiri wanaumwa masikini.

Kwa mfano hii nchi ninayoishi, the best students let’s say A plus wanaenda kusoma Veterinary na Pharmacy, then best students with A wanaenda kusoma medicine , nurses and injinia.

How come tunaruhusu D Iende kusoma medical field , hivi CCM kwanini tunapenda ku play na mambo muhimu; last time tuliona ufaulu wa madokta was catastrophic , this time tunaona ufaulu wa pharmacist ni worse, ukipitia hiyo link ya mwananchi utaona matokeo yao , a student from certain universities in TZ Kutoa MUHAS na CUHAS utaona mtu amerudi mara 6 the same exams , such student baadae ataenda Hosp kumshauri mgonjwa…… where are we going CCM ?

MUHAS and CUHAS are the only conservatives universities, kusoma medicine nurses au Pharmacy .

MUHAS kama huna A za kutosha kwenye qualification entry zako, my friend sahau bachelor of medicine wala famasi.

Sasa Wakikosa MUHAS au CUHAS , pakukimbilia ni hivyo vyuo vinavoleta watu wanaenda kuwaaambia wagonjwa meza gynozol au anaenda kuandika pathologie kuwa a family has a history of falling down the trees ! Shame shame shame , problem !

Qualification entry za Course za Afya lazima ziangaliweUPYA , kwa level ya diploma you must have C or above in all subjects and for bachelor tuige mfano wa MUHAS na CUHAS .

Ni Umasikini tu wa black skin , I wished kwa Tanzania vyuo vyote vinavyohusu Afya viwe ni vya Serikali, ikitokea vya private , basi viwe BEST ya vyuo vya serikali lakini pia qualification entry ziwe standardized kwa Course za Afya .

Minimum criteria ziwe ni C for diploma , na minimum criteria for bachelor iwe ni A na B tu na kusiwe na C kwenye physic’s , math , bio, chemistry otherwise, tunatengeneza bomu and in few years tujiandae the consequences

health education system must be preserved at any COST

Professional bodies , mshike hapo hapo, msipitishe Uharo kwa expenses ya watanzania wasiojua chochote masikini.

Hongereni wafamasia, na sisi Madokta tuige mfano kupiga scrutiny za kutosha,kama lichuo linachukua F au D For the sake of money , piga PIN kwenye professional exams tu.



TAFAKARI MTANZANIA !
 
Wakati nipo Ocean Road nikiwa TZ , nimefanya kazi na products mbalimbali kutoka vyuo tofauti, wapo wanafunzi kama intern wakiwa madaktari ambao we were training them, wengine wafamasia au nurses ….based on the experience, students from MUHAS and CUHAS were the best doctors , pharmacist and nurses .

Wanafunzi kutoka vyuo tofauti na hivyo, ni majanga makubwa unajiuliza wewe unaendaje kutibu watu au unaendaje ku deal na dawa za binadamu?

Una mwambia prospective doctor achukue pathologic history, unabaki unashika kichwa, you meet a pharmacist anamwambia mgonjwa umeze Gynozol mbili mara tatu , shame ! ( gynozol is a medication need to be inserted through vagina).

Ukiuliza umesoma wapi utaambiwa ……..,,,vyuo fulan Fulani hivi na vile vyuo ambavyo unaambiwa chuo kipo gorofa ya nne

Ni kawaida siku hizi student with Flat D akawa enrolled kwenye medical field , it is a shame CCM inaenda kuharibu hadi mfumo wa elimu ya Afya,

tuna madaktari very low intelligence can’t even reason , we have pharmacist and nurses who cannot even notice medication errors zinazokuwa committed by doctors .

Ikiwa mtu mwenye D anaenda kusoma kozi za Afya , we need to go back kwenye drawing table or else let’s all perish.

Kwa ufaulu wa sasa, kama hauna C and above ilitakiwa usiruhusiwe kusoma course za Afya level ya Diploma , watanzania wanaangamia, ever wondered why now days magonjwa ya matajiri wanaumwa masikini.

Kwa mfano hii nchi ninayoishi, the best students let’s say A plus wanaenda kusoma Veterinary na Pharmacy, then best students with A wanaenda kusoma medicine , nurses and injinia.

How come tunaruhusu D Iende kusoma medical field , hivi CCM kwanini tunapenda ku play na mambo muhimu; last time tuliona ufaulu wa madokta was catastrophic , this time tunaona ufaulu wa pharmacist ni worse, ukipitia hiyo link ya mwananchi utaona matokeo yao , a student from certain universities in TZ Kutoa MUHAS na CUHAS utaona mtu amerudi mara 6 the same exams , such student baadae ataenda Hosp kumshauri mgonjwa…… where are we going CCM ?

MUHAS and CUHAS are the only conservatives universities, kusoma medicine nurses au Pharmacy .

MUHAS kama huna A za kutosha kwenye qualification entry zako, my friend sahau bachelor of medicine wala famasi.

Sasa Wakikosa MUHAS au CUHAS , pakukimbilia ni hivyo vyuo vinavoleta watu wanaenda kuwaaambia wagonjwa meza gynozol au anaenda kuandika pathologie kuwa a family has a history of falling down the trees ! Shame shame shame , problem !

Qualification entry za Course za Afya lazima ziangaliweUPYA , kwa level ya diploma you must have C or above in all subjects and for bachelor tuige mfano wa MUHAS na CUHAS .

Ni Umasikini tu wa black skin , I wished kwa Tanzania vyuo vyote vinavyohusu Afya viwe ni vya Serikali, ikitokea vya private , basi viwe BEST ya vyuo vya serikali lakini pia qualification entry ziwe standardized kwa Course za Afya .

Minimum criteria ziwe ni C for diploma , na minimum criteria for bachelor iwe ni A na B tu na kusiwe na C kwenye physic’s , math , bio, chemistry otherwise, tunatengeneza bomu and in few years tujiandae the consequences

health education system must be preserved at any COST

Professional bodies , mshike hapo hapo, msipitishe Uharo kwa expenses ya watanzania wasiojua chochote masikini.

Hongereni wafamasia, na sisi Madokta tuige mfano kupiga scrutiny za kutosha,kama lichuo linachukua F au D For the sake of money , piga PIN kwenye professional exams tu.



TAFAKARI MTANZANIA !
Naweza kukubaliana nawewe kwa kiasi ila pia naweza kupingana nawewe

Ninawajua watu hao wenye Div. 4 na 3 za O-level lakini ni wazuri sana makazini na wapo graduated candidates kwny vyuo vikubwa lakini wapo shalo sana....Training ndio kitu muhimu zaidi baada ya kugraduate vyuo.

Udaktari pamoja na Elimu ila itabaki kuwa ni Wito, inahitaji Umakini, Nidhamu na Patience ya hali ya juu

Unakuta Dr. ni msomi lakini hata kuongea na mgonjwa tu vizuri hawezi
 
Naweza kukubaliana nawewe kwa kiasi ila pia naweza kupingana nawewe

Ninawajua watu hao wenye Div. 4 na 3 za O-level lakini ni wazuri sana makazini na wapo graduated candidates kwny vyuo vikubwa lakini wapo shalo sana....Training ndio kitu muhimu zaidi baada ya kugraduate vyuo.

Udaktari pamoja na Elimu ila itabaki kuwa ni Wito, inahitaji Umakini, Nidhamu na Patience ya hali ya juu

Unakuta Dr. ni msomi lakini hata kuongea na mgonjwa tu vizuri hawezi

Hapana
It is very obvious kama mtu kapata div one ya 3 kwa akili zake, na huyu kapata div 3 kwa akili zake …..that is obvious gap

Aliyepata one ni ana akili za darasani and bright as compared to div 3
 
Wakati nipo Ocean Road nikiwa TZ , nimefanya kazi na products mbalimbali kutoka vyuo tofauti, wapo wanafunzi kama intern wakiwa madaktari ambao we were training them, wengine wafamasia au nurses ….based on the experience, students from MUHAS and CUHAS were the best doctors , pharmacist and nurses .

Wanafunzi kutoka vyuo tofauti na hivyo, ni majanga makubwa unajiuliza wewe unaendaje kutibu watu au unaendaje ku deal na dawa za binadamu?

Una mwambia prospective doctor achukue pathologic history, unabaki unashika kichwa, you meet a pharmacist anamwambia mgonjwa umeze Gynozol mbili mara tatu , shame ! ( gynozol is a medication need to be inserted through vagina).

Ukiuliza umesoma wapi utaambiwa ……..,,,vyuo fulan Fulani hivi na vile vyuo ambavyo unaambiwa chuo kipo gorofa ya nne

Ni kawaida siku hizi student with Flat D akawa enrolled kwenye medical field , it is a shame CCM inaenda kuharibu hadi mfumo wa elimu ya Afya,

tuna madaktari very low intelligence can’t even reason , we have pharmacist and nurses who cannot even notice medication errors zinazokuwa committed by doctors .

Ikiwa mtu mwenye D anaenda kusoma kozi za Afya , we need to go back kwenye drawing table or else let’s all perish.

Kwa ufaulu wa sasa, kama hauna C and above ilitakiwa usiruhusiwe kusoma course za Afya level ya Diploma , watanzania wanaangamia, ever wondered why now days magonjwa ya matajiri wanaumwa masikini.

Kwa mfano hii nchi ninayoishi, the best students let’s say A plus wanaenda kusoma Veterinary na Pharmacy, then best students with A wanaenda kusoma medicine , nurses and injinia.

How come tunaruhusu D Iende kusoma medical field , hivi CCM kwanini tunapenda ku play na mambo muhimu; last time tuliona ufaulu wa madokta was catastrophic , this time tunaona ufaulu wa pharmacist ni worse, ukipitia hiyo link ya mwananchi utaona matokeo yao , a student from certain universities in TZ Kutoa MUHAS na CUHAS utaona mtu amerudi mara 6 the same exams , such student baadae ataenda Hosp kumshauri mgonjwa…… where are we going CCM ?

MUHAS and CUHAS are the only conservatives universities, kusoma medicine nurses au Pharmacy .

MUHAS kama huna A za kutosha kwenye qualification entry zako, my friend sahau bachelor of medicine wala famasi.

Sasa Wakikosa MUHAS au CUHAS , pakukimbilia ni hivyo vyuo vinavoleta watu wanaenda kuwaaambia wagonjwa meza gynozol au anaenda kuandika pathologie kuwa a family has a history of falling down the trees ! Shame shame shame , problem !

Qualification entry za Course za Afya lazima ziangaliweUPYA , kwa level ya diploma you must have C or above in all subjects and for bachelor tuige mfano wa MUHAS na CUHAS .

Ni Umasikini tu wa black skin , I wished kwa Tanzania vyuo vyote vinavyohusu Afya viwe ni vya Serikali, ikitokea vya private , basi viwe BEST ya vyuo vya serikali lakini pia qualification entry ziwe standardized kwa Course za Afya .

Minimum criteria ziwe ni C for diploma , na minimum criteria for bachelor iwe ni A na B tu na kusiwe na C kwenye physic’s , math , bio, chemistry otherwise, tunatengeneza bomu and in few years tujiandae the consequences

health education system must be preserved at any COST

Professional bodies , mshike hapo hapo, msipitishe Uharo kwa expenses ya watanzania wasiojua chochote masikini.

Hongereni wafamasia, na sisi Madokta tuige mfano kupiga scrutiny za kutosha,kama lichuo linachukua F au D For the sake of money , piga PIN kwenye professional exams tu.



TAFAKARI MTANZANIA !
Mimi naona wewe ndo shida na siyo hao unaowasema. Hivi unategemea mtu ambaye ndo anaanza kazi awe competent kama wewe ambaye upo kazini muda mrefu?
Badala uwaelekeze waelewe wewe unaanza kuponda vyuo wanavyotoka, hivi huoni kwamba wewe ni tatizo zaidi sehemu yako ya kazi zaidi ya unavyojiona?
 
Wakati nipo Ocean Road nikiwa TZ , nimefanya kazi na products mbalimbali kutoka vyuo tofauti, wapo wanafunzi kama intern wakiwa madaktari ambao we were training them, wengine wafamasia au nurses ….based on the experience, students from MUHAS and CUHAS were the best doctors , pharmacist and nurses .

Wanafunzi kutoka vyuo tofauti na hivyo, ni majanga makubwa unajiuliza wewe unaendaje kutibu watu au unaendaje ku deal na dawa za binadamu?

Una mwambia prospective doctor achukue pathologic history, unabaki unashika kichwa, you meet a pharmacist anamwambia mgonjwa umeze Gynozol mbili mara tatu , shame ! ( gynozol is a medication need to be inserted through vagina).

Ukiuliza umesoma wapi utaambiwa ……..,,,vyuo fulan Fulani hivi na vile vyuo ambavyo unaambiwa chuo kipo gorofa ya nne

Ni kawaida siku hizi student with Flat D akawa enrolled kwenye medical field , it is a shame CCM inaenda kuharibu hadi mfumo wa elimu ya Afya,

tuna madaktari very low intelligence can’t even reason , we have pharmacist and nurses who cannot even notice medication errors zinazokuwa committed by doctors .

Ikiwa mtu mwenye D anaenda kusoma kozi za Afya , we need to go back kwenye drawing table or else let’s all perish.

Kwa ufaulu wa sasa, kama hauna C and above ilitakiwa usiruhusiwe kusoma course za Afya level ya Diploma , watanzania wanaangamia, ever wondered why now days magonjwa ya matajiri wanaumwa masikini.

Kwa mfano hii nchi ninayoishi, the best students let’s say A plus wanaenda kusoma Veterinary na Pharmacy, then best students with A wanaenda kusoma medicine , nurses and injinia.

How come tunaruhusu D Iende kusoma medical field , hivi CCM kwanini tunapenda ku play na mambo muhimu; last time tuliona ufaulu wa madokta was catastrophic , this time tunaona ufaulu wa pharmacist ni worse, ukipitia hiyo link ya mwananchi utaona matokeo yao , a student from certain universities in TZ Kutoa MUHAS na CUHAS utaona mtu amerudi mara 6 the same exams
emoji2099.png
, such student baadae ataenda Hosp kumshauri mgonjwa…… where are we going CCM ?

MUHAS and CUHAS are the only conservatives universities, kusoma medicine nurses au Pharmacy .

MUHAS kama huna A za kutosha kwenye qualification entry zako, my friend sahau bachelor of medicine wala famasi.

Sasa Wakikosa MUHAS au CUHAS , pakukimbilia ni hivyo vyuo vinavoleta watu wanaenda kuwaaambia wagonjwa meza gynozol au anaenda kuandika pathologie kuwa a family has a history of falling down the trees ! Shame shame shame , problem !

Qualification entry za Course za Afya lazima ziangaliweUPYA , kwa level ya diploma you must have C or above in all subjects and for bachelor tuige mfano wa MUHAS na CUHAS .

Ni Umasikini tu wa black skin , I wished kwa Tanzania vyuo vyote vinavyohusu Afya viwe ni vya Serikali, ikitokea vya private , basi viwe BEST ya vyuo vya serikali lakini pia qualification entry ziwe standardized kwa Course za Afya .

Minimum criteria ziwe ni C for diploma , na minimum criteria for bachelor iwe ni A na B tu na kusiwe na C kwenye physic’s , math , bio, chemistry otherwise, tunatengeneza bomu and in few years tujiandae the consequences

health education system must be preserved at any COST

Professional bodies , mshike hapo hapo, msipitishe Uharo kwa expenses ya watanzania wasiojua chochote masikini.

Hongereni wafamasia, na sisi Madokta tuige mfano kupiga scrutiny za kutosha,kama lichuo linachukua F au D For the sake of money , piga PIN kwenye professional exams tu.



TAFAKARI MTANZANIAK
Acha tuendeleze taaluma zetu za jadi zinatosha.

Mungu ameshatujalia mimea ya kila aina inayotatua aina nyingi za maradhi yetu, nyie endeleeni kushindana juu ya taaluma za kwenye makaratasi.
Kinachokusumbua wewe ni wivu na roho mbaya, kama unaona huruma usingekimbilia nje ungebaki kutibu watu wa nchi yako, wewe ni kati ya wale jamaa washamba sana.
 
Hivi nataka kuwa daktari, topic ya projectile ya form six inanisaidia Nini.

Critical thinking

You will need to reason

Kwenye elimu we don’t focus only na cognitive theory ( mfumo mwingi wa elimu ya TZ ni cognitive based only knowledge)

While mfumo wa mbele au hizi international schools ni wanafocus kwenye mambo 3

1. Psychomoteur ( to ensure students has skills may be multiple skills kwenye maisha)
2. Cognitive ( knowledge)
3. Attitudes ( to have the right attitudes )

Mfumo wa TZ una focus kwenye Cognitive tu
Psychomoteur ni zero
Attitude ni zero

Ndio hao viongozi wa TZ , unakuta mtu Rais au Waziri but still anaiba na kupiga deal .
 
Back
Top Bottom