Vyuo bora Tanzania kwa kozi mbalimbali

Vyuo bora Tanzania kwa kozi mbalimbali

duhh!!!! ilitakiwa utoe data kibaoo za analysis yako. sio kuamka tu na kutaja vyuo
je st augtine , OPEN umewahi iskia?
Umewahi kupambana na interview na mhitimu wa open akawepo? (maana wanajulikana kama kuku wa kienyeji)
open university sijawahi kutana nao, sijui wanafanya kazi wapi, japo najua serikalini wapo wengi.
 
Nursing and Midwifery (diploma) - Ndanda Nursing School - Mtwara
 
Licha ya UDSM kuwa na Enginnering 30yrs sijawahi Ona Fly over ya mbongo. Naona Magufuli alitujazia madaraja ya chuma ya kuvukia MITO eti Madaraja!!!

Barabara zote nzr ni Wachina, UK, USA, Germany, Finland, etc. Engineering UDSM huenda ujifunze kuchanganya zege!!
 
Licha ya UDSM kuwa na Enginnering 30yrs sijawahi Ona Fly over ya mbongo. Naona Magufuli alitujazia madaraja ya chuma ya kuvukia MITO eti Madaraja!!!

Barabara zote nzr ni Wachina, UK, USA, Germany, Finland, etc. Engineering UDSM huenda ujifunze kuchanganya zege!!
Miaka ya zamani graduate wengi walikua vibarua, ila sasa hivi wameanza kujiajiri na kutimia watalaam wa ndani
 
Ndugu jaribu kuwa mwelewa. Hakuna anayepinga CBE kuwa wazuri. Swali ni kwamba ni wazuri kwa level ipi? PhD au Diploma? Ndio maana nakukataza kulinganisha CBE na UDSM. Ni sawa na kusema yanga ni wazuri na pia barcelona ni wazuri kisha unawaweka kundi moja.

Hao CBE ni wazuri kwa level zao kama ni mpira sema kombe la mbuzi. Na UDSM walinganishe uzuri wao kwenye ligi yao kama ni mpira sema kombe la Dunia.

Huwezi linganisha International Institution na Local ones. Ukibisha andaa interview kwa wanafunzi waliotoka st. Josefu university wenye first class na wa UDSM wenye lower second, wote wawe wamesoma kozi zinazofanana, utaona miujiza.
Nenda kawaulize waliofanya interview kinyerezi power plant watakupa jibu,haina haja ya kuitisha interview na upya kati ya engineers 10 walioitajika utaambiwa kuna wakutoka chuo unachokizarau walichukuliwa wangapi.
 
Ardhi university kutokuwepo ni dhambi kubwa sana kielimu hapa Tanzania alafu ardhi si architecture tu inayotolewa bali kuna kozi nyingi sana na zenye utofauti mkubwa sana
 
Vyuo umoja chuo ... kingereza university naona apo kuna vitaasisi kibao wazungu wanaita institutes ila bado heading inasema vyuo....kuna utofauti ndugu.
 
list yako imekaa kibaguzi nlikua nakuskilizia tu ungetaja special needs education Sekomu ningekuelewa maana hakina mpinzani kama yupo leta ushahidi
yec uyo jamaa kakalili kwa taarifa yak kuna vyuo kibao bora vya GA zaid ya SUA kumbuka kuna MATI UYOLE, TUMBI MABUKI NA vingenevyo fanyaaa tafitiiii kwanzaaaa
 
Chuo cha kutoa elimu ya kiwango gani? PhD au Masters? Hivyo vingine kama Arusha Tech kinazalisha ma archtect au wasaidizi. Hebu vipange kulingana na level zake kitaaluma. Kuiweka UDSM na CBE kundi moja ni kosa la jinai. Ni sawa na kuwalinganishwa messi na mfungaji bora wa ligi ya TZ hata kama huyu wa TZ kafunga magoli mengi katika msimu mmoja kuliko messi.
Degree ya kwanza
 
Kumbuka lugha kama "No research no right to speak" wakati mwingine hutumiwa na poor researchers kama defence mechanism yao kwa wale wanaoonekana kutokubaliana na hizo wanazoziita tafiti zao.

Ok. Wewe unasema umefanya utafiti. Kama kweli umefanya utafiti thibitishia wadau hapa kwa kuweka hadharani mapungufu uliyoyaona kwenye vyuo vya TIA na AIA hadi visionekane kwa vigezo sahihi kuwa na ubora kwenye kozi za finance na accounting na pia Bugando na KCMC kwenye kozi za medicine. Kweli wanaosoma kozi hizo TIA, AIA, Bugando au KCMC ambavyo haviko katika orodha yako wanapoteza muda?

Fanya hiyo dissemination ili tuamini kuwa ulichokiandika kweli umekifanyia utafiti.

Ngoja nikurekebishe kidogo brother,siyo AIA bali ni IAA(Institute of Accountancy Arusha)
 
Mie sijasoma kwenye mojawapo ya hivyo ulivyoviita vyuo bora. Nimesoma kwenye hivyo unavyosema kupoteza muda. Lakini kuna staff kibao waliosoma hivyo vyuo bora lakini kila siku wanaripoti kwangu.
 
Back
Top Bottom