butron
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,769
- 8,260
Kwani UDSM inatumia mitaala ya cambridge?toa sababu za kutokufananishwa.Chuo cha kutoa elimu ya kiwango gani? PhD au Masters? Hivyo vingine kama Arusha Tech kinazalisha ma archtect au wasaidizi. Hebu vipange kulingana na level zake kitaaluma. Kuiweka UDSM na CBE kundi moja ni kosa la jinai. Ni sawa na kuwalinganishwa messi na mfungaji bora wa ligi ya TZ hata kama huyu wa TZ kafunga magoli mengi katika msimu mmoja kuliko messi.