Vyumba vya mateso

Mkuu asante kwa hii Ila kumfananisha YESU na wanadamu ..wa kawaida sisawa YESU alishaandaliwa na MUNGU pamoja na hayo siunakumbuka akivyokuwa GESTEMANE akiomba ...pamoja na Ahadi ya MUNGU kwake bado aliomba kikombe kimuepuke hadi JASHO likawa DAMU....acha kabisa kitu inaitwa mateso
 
sasa kama anajua na haja usika..... i mean akushirikishwa wataka aongee nini kwa harakaa haraka..... muacheni bhnaaaa yeye sio taira kukaaa kimnyaaa

sasa kama anajua na haja usika..... i mean akushirikishwa wataka aongee nini kwa harakaa haraka..... muacheni bhnaaaa yeye sio taira kukaaa kimnyaaa
Moja ingetosha
 
Mh!!!
 
Wewe na post yako ukitekwa dakika 5 tu utabuma kishenzi tena utaeleza kilakitu hata usichoulizwa.
Hapa kinachoongelewa ni kupatiwa maumivu mubashara na siyo kifo.
Utalia na kuomba msamaha wa jambo usilolitenda na kuropoka siri zoooooote ili upewe tuzo la mapumziko ya dak.1.
 
Pale Obay kuna hiki chumba, na central na Tmk na kule kwingineko halafu kuna mtu anaitwa ziraili, anaonekana usiku tu... Unaning'inizwa darini kwa mkono mmoja halafu kamba nyingine inafungwa mguuni halafu inavutwa mpaka kwenye pembe ya chumba...
Mkono mmoja darini mguu mmoja pembe ya chumba... Ukiwa nyoronyoro... Kubwa itakutoka... Within few seconds
 
Selfie na mtu uliyemtesa hadi kifo
kweli sura sio roho..! Ukisikia malaika wa kifo ndio hawa
Ushenzi na ukatili wa akina Eva
 
By nature wanadamu tumeumbwa na woga, baada ya hili la Roma utakubaliana na mimi hakuna single ya kuisema serikali tena. Kwa hiyo wasanii tayari sasa waandishi na wengine vimbelembele watafuata, ni vibaya sana kwa ustawi wa taifa.
 

Dawa yake ni kisasi

Roho ya uoga ni mbaya, ukiniteka Mimi usiniache hai , hutobaki salama either wewe au yyt anae kuhusu
 
Na hakuna ulazima wa kufanya press conference baada ya kuachiwa kutoka ulikotekwa ukikaa kimya sio dhambi ila usiwaite waandishi ili umsafishe fulani kwa kufanya ivyo UNASTAHILI UTEKWE KWA MARA NYINGINE.
Tumechoka maigizo yao.
 
Mateso kama haya unapomtesa mwenzako unatakiwa uwe na roho ya kishetani ambayo haina huruma ndo utafanya unyama kama huu.
 
Ila mtakuja nambia tanzania inaelekea kibaya sana na wale waloanzisha kama c wao basi kisasi cheo pia kitakuja tekwa hilo liko wazi yaani tamaa tu inakufanya ujirinde au kuwatisha watu kwa nyie hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…