Vyombo vya habari vinaua CHADEMA kwa kuripoti wanaohama — asema Heche, Makamu Mwenyekiti CHADEMA bara

Vyombo vya habari vinaua CHADEMA kwa kuripoti wanaohama — asema Heche, Makamu Mwenyekiti CHADEMA bara

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,770
Reaction score
1,173
VYOMBO VYA HABARI VINAUA CHADEMA KWA KURIPOTI WANAOHAMA — ASEMA HECHE, MAKAMU MWENYEKITI CHADEMA BARA

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Mheshimiwa John Heche, ameibua hoja nzito inayolenga mahusiano ya vyombo vya habari na vyama vya siasa, akidai kuwa baadhi ya vyombo vya habari vinahujumu mustakabali wa CHADEMA kwa kuegemea kuripoti habari za wanachama wanaohama tu.

“Vyombo vya habari vinaua CHADEMA kwa kuripoti wanaohama,” alisema kwa ukali mbele ya waandishi wa habari.

Kauli hii imeibua mjadala mpana kuhusu wajibu wa vyombo vya habari katika kuchangia ustawi wa demokrasia. Kwa mtazamo wa kitaalamu wa propaganda, Heche amejaribu kuibua huruma ya umma kwa chama chake kwa kuonyesha kuwa vyombo vya habari vinachagua upande wa kupotosha hadhira badala ya kuangazia pia mafanikio na misimamo ya msingi ya chama.

Katika siasa za Tanzania leo, ambapo taarifa huenea kwa kasi kupitia mitandao ya kijamii na televisheni, ujumbe wa Heche unaashiria kulinda taswira ya chama chake na kuhimiza uwiano wa kihabari.
 

Attachments

  • IMG-20250523-WA0149.jpg
    IMG-20250523-WA0149.jpg
    127.2 KB · Views: 19
Vyombo vya habari havina wajibu wa kuipendelea CHADEMA.

Hata kanuni ya neutrality kwenye habari kimsingi ni mazingaombwe tu, waandishi wa habari wana ajenda zao na vyombo vya habari vina pande zao.

In fact CHADEMA wanatakiwa kuwa na vyombo vyao vya habari vya kueneza ajenda zao.
 
VYOMBO VYA HABARI VINAUA CHADEMA KWA KURIPOTI WANAOHAMA — ASEMA HECHE, MAKAMU MWENYEKITI CHADEMA BARA

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Mheshimiwa John Heche, ameibua hoja nzito inayolenga mahusiano ya vyombo vya habari na vyama vya siasa, akidai kuwa baadhi ya vyombo vya habari vinahujumu mustakabali wa CHADEMA kwa kuegemea kuripoti habari za wanachama wanaohama tu.



Kauli hii imeibua mjadala mpana kuhusu wajibu wa vyombo vya habari katika kuchangia ustawi wa demokrasia. Kwa mtazamo wa kitaalamu wa propaganda, Heche amejaribu kuibua huruma ya umma kwa chama chake kwa kuonyesha kuwa vyombo vya habari vinachagua upande wa kupotosha hadhira badala ya kuangazia pia mafanikio na misimamo ya msingi ya chama.

Katika siasa za Tanzania leo, ambapo taarifa huenea kwa kasi kupitia mitandao ya kijamii na televisheni, ujumbe wa Heche unaashiria kulinda taswira ya chama chake na kuhimiza uwiano wa kihabari.
Heche ni wa hivyo sana.Kila mtu kila taasi na kila chombo Cha habari ni adui kwa CHADEMA.
 
Vyombo vya habari havina wajibu wa kuipendelea CHADEMA.

Hata kanuni ya neutrality kwenye habari kimsingi ni mazingaombwe tu, waandishi wa habari wana ajenda zao na vyombo vya habari vina pande zao.

In fact CHADEMA wanatakiwa kuwa na vyombo vyao vya habari vya kueneza ajenda zao.
Wala hajataka vyombo vya habari viipendelee cdm. Bali ameviumbua vyombo vya habari kuripoti jambo kishabiki na akaweka ukweli ni upi kwa data. Ni kama kaviumbua vyombo vya habari, na wala hakuwa anataka huruma yao.
 
Hii kauli inaweza kutafsiriwa vibaya. Kwamba ni kweli chadema inakufa.
MAgazeti kama Uhuru, Tanzanite yanaweza kuandika heading. Heche akiri chadema iinakufa
Hapa kidogo kateleza.
 
Heche ni wa hivyo sana.Kila mtu kila taasi na kila chombo Cha habari ni adui kwa CHADEMA.
Yeye kaonyesha kwa ushahidi uhovyo wa vyombo vya habari tena kwa data. Kupitia taarifa yenye ukweli ndio tumeona upuuzi wa vyombo vya habari.
 
VYOMBO VYA HABARI VINAUA CHADEMA KWA KURIPOTI WANAOHAMA — ASEMA HECHE, MAKAMU MWENYEKITI CHADEMA BARA

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Mheshimiwa John Heche, ameibua hoja nzito inayolenga mahusiano ya vyombo vya habari na vyama vya siasa, akidai kuwa baadhi ya vyombo vya habari vinahujumu mustakabali wa CHADEMA kwa kuegemea kuripoti habari za wanachama wanaohama tu.



Kauli hii imeibua mjadala mpana kuhusu wajibu wa vyombo vya habari katika kuchangia ustawi wa demokrasia. Kwa mtazamo wa kitaalamu wa propaganda, Heche amejaribu kuibua huruma ya umma kwa chama chake kwa kuonyesha kuwa vyombo vya habari vinachagua upande wa kupotosha hadhira badala ya kuangazia pia mafanikio na misimamo ya msingi ya chama.

Katika siasa za Tanzania leo, ambapo taarifa huenea kwa kasi kupitia mitandao ya kijamii na televisheni, ujumbe wa Heche unaashiria kulinda taswira ya chama chake na kuhimiza uwiano wa kihabari.
Hakuna popote aliposema vyombo vya habari vinaua cdm, bali amesema vyombo vya habari vinaripoti kama cdm inakufa, na akaonyesha ni jinsi gani cdm haifi kwa data, kinyume na namna vyombo vya habari vinavyotaka kupotosha. Ww mleta mada usitake kupotosha kama hatujaelewa alichosema Heche.
 
Vyombo vya habari havina wajibu wa kuipendelea CHADEMA.

Hata kanuni ya neutrality kwenye habari kimsingi ni mazingaombwe tu, waandishi wa habari wana ajenda zao na vyombo vya habari vina pande zao.

In fact CHADEMA wanatakiwa kuwa na vyombo vyao vya habari vya kueneza ajenda zao.
Pia wanapaswa kuwa na ilani bora inayoonyesha mwelekeo wa Tanzania yetu kisiasa na kiuchumi kwa miaka kadhaa sio upumbuvu wao wa haki haki haki, duniani hakujawahi kuwa na haki full stop.
 
VYOMBO VYA HABARI VINAUA CHADEMA KWA KURIPOTI WANAOHAMA — ASEMA HECHE, MAKAMU MWENYEKITI CHADEMA BARA

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Mheshimiwa John Heche, ameibua hoja nzito inayolenga mahusiano ya vyombo vya habari na vyama vya siasa, akidai kuwa baadhi ya vyombo vya habari vinahujumu mustakabali wa CHADEMA kwa kuegemea kuripoti habari za wanachama wanaohama tu.



Kauli hii imeibua mjadala mpana kuhusu wajibu wa vyombo vya habari katika kuchangia ustawi wa demokrasia. Kwa mtazamo wa kitaalamu wa propaganda, Heche amejaribu kuibua huruma ya umma kwa chama chake kwa kuonyesha kuwa vyombo vya habari vinachagua upande wa kupotosha hadhira badala ya kuangazia pia mafanikio na misimamo ya msingi ya chama.

Katika siasa za Tanzania leo, ambapo taarifa huenea kwa kasi kupitia mitandao ya kijamii na televisheni, ujumbe wa Heche unaashiria kulinda taswira ya chama chake na kuhimiza uwiano wa kihabari.
Makamu anajipa hofu ya bure tu,NO REFORMS NO ELECTION ni zaidi ya wahamaji
 
Vyombo vya habari havina wajibu wa kuipendelea CHADEMA.

Hata kanuni ya neutrality kwenye habari kimsingi ni mazingaombwe tu, waandishi wa habari wana ajenda zao na vyombo vya habari vina pande zao.

In fact CHADEMA wanatakiwa kuwa na vyombo vyao vya habari vya kueneza ajenda zao.
Chombo cha habari ni biashara
Ukilipia wanakupa airtime utangaze hiyo biashara yako ya siasa.

Ruzuku na tonetone wanakula peke yao halafu wanataka vyombo vya habari vitangaze .Vina gharama za uendeshaji kibao .

CHADEMA Waache ubahili
 
Yeye kaonyesha kwa ushahidi uhovyo wa vyombo vya habari tena kwa data. Kupitia taarifa yenye ukweli ndio tumeona upuuzi wa vyombo vya habari.
CHADEMA Lipeni mnataka watangaze habari zenu bure wakati mnapata ruzuku na pesa za tonetone? Wawatangaze bure kwa gharama ya nani ya gharama za uendeshaji?
 
VYOMBO VYA HABARI VINAUA CHADEMA KWA KURIPOTI WANAOHAMA — ASEMA HECHE, MAKAMU MWENYEKITI CHADEMA BARA

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Mheshimiwa John Heche, ameibua hoja nzito inayolenga mahusiano ya vyombo vya habari na vyama vya siasa, akidai kuwa baadhi ya vyombo vya habari vinahujumu mustakabali wa CHADEMA kwa kuegemea kuripoti habari za wanachama wanaohama tu.



Kauli hii imeibua mjadala mpana kuhusu wajibu wa vyombo vya habari katika kuchangia ustawi wa demokrasia. Kwa mtazamo wa kitaalamu wa propaganda, Heche amejaribu kuibua huruma ya umma kwa chama chake kwa kuonyesha kuwa vyombo vya habari vinachagua upande wa kupotosha hadhira badala ya kuangazia pia mafanikio na misimamo ya msingi ya chama.

Katika siasa za Tanzania leo, ambapo taarifa huenea kwa kasi kupitia mitandao ya kijamii na televisheni, ujumbe wa Heche unaashiria kulinda taswira ya chama chake na kuhimiza uwiano wa kihabari.
Kauli dhaifu sana. Kumbe CHADEMA inakufa? Si alisema iko strong? Ndiyo tujue uwezo wa kiongozi ni pamoja na kujua aongee nini katika mazingira magumu. Hapa amekiri CHADEMA iko ICU.🙏🙏🙏
 
VYOMBO VYA HABARI VINAUA CHADEMA KWA KURIPOTI WANAOHAMA — ASEMA HECHE, MAKAMU MWENYEKITI CHADEMA BARA
Mlisema CHADEMA iko ndani ya mioyo ya watu haifi .Sasa vyombo vya habari vinauaje chama kilicho ndani ya moyo wa mtu?
 
VYOMBO VYA HABARI VINAUA CHADEMA KWA KURIPOTI WANAOHAMA — ASEMA HECHE, MAKAMU MWENYEKITI CHADEMA BARA

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Mheshimiwa John Heche, ameibua hoja nzito inayolenga mahusiano ya vyombo vya habari na vyama vya siasa, akidai kuwa baadhi ya vyombo vya habari vinahujumu mustakabali wa CHADEMA kwa kuegemea kuripoti habari za wanachama wanaohama tu.



Kauli hii imeibua mjadala mpana kuhusu wajibu wa vyombo vya habari katika kuchangia ustawi wa demokrasia. Kwa mtazamo wa kitaalamu wa propaganda, Heche amejaribu kuibua huruma ya umma kwa chama chake kwa kuonyesha kuwa vyombo vya habari vinachagua upande wa kupotosha hadhira badala ya kuangazia pia mafanikio na misimamo ya msingi ya chama.

Katika siasa za Tanzania leo, ambapo taarifa huenea kwa kasi kupitia mitandao ya kijamii na televisheni, ujumbe wa Heche unaashiria kulinda taswira ya chama chake na kuhimiza uwiano wa kihabari.
Mkuu nimesiliza speech yote, sijaona popote heche amesema vyombo vya habari vinaiua chadema.... unless ni intepretation yako
 
CHADEMA Lipeni mnataka watangaze habari zenu bure wakati mnapata ruzuku na pesa za tonetone? Wawatangaze bure kwa gharama ya nani ya gharama za uendeshaji?
Hatutaki watangaze habari zetu, maana habari zetu zinajitangaza zenyewe. Wasitangaze kiupotoshaji. Na wakitangaza kiupotoshaji ndio ukweli utawekwa hadharani.
 
Wala hajataka vyombo vya habari viipendelee cdm. Bali ameviumbua vyombo vya habari kuripoti jambo kishabiki na akaweka ukweli ni upi kwa data. Ni kama kaviumbua vyombo vya habari, na wala hakuwa anataka huruma yao.
Kw akuanzia na heading ya thread ni kama hataki vyombo vya habari kuripoti habari za watu wanaohama CHADEMA.

"VYOMBO VYA HABARI VINAUA CHADEMA KWA KURIPOTI WANAOHAMA — ASEMA HECHE, MAKAMU MWENYEKITI CHADEMA BARA".
 
Mkuu nimesiliza speech yote, sijaona popote heche amesema vyombo vya habari vinaiua chadema.... unless ni intepretation yako
Yuko kiupotoshaji, Heche ameonyesha ni kwa jinsi gani tuna vyombo vya habari vilivyopoteza weledi.
 
Pia wanapaswa kuwa na ilani bora inayoonyesha mwelekeo wa Tanzania yetu kisiasa na kiuchumi kwa miaka kadhaa sio upumbuvu wao wa haki haki haki, duniani hakujawahi kuwa na haki full stop.
Haki ni kitu cha msingi, usiidogoshe hoja ya haki.

Ukipuuza haki hata huo uchumi huwezi kujenga.
 
Back
Top Bottom