kama kawaida vyombo vya habari na vibaraka wa magamba wamezidi andamwa na mzimu wa chadema baada ya chanel ten kusema habari ya lema,mb kusema haiko tayari!lakini baadae wakaitoa...pipoz power
Hivi kweli kuna mtoto anayeweza mwambia baba yake mbona hujavaa nguo ya ndani tena ya chini!!!hiyo ndo serikali ya ****** na vyombo vya habari hapa nchini..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.