PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
Wana JF,
Kuna hii kitu nataka kushea na nyie.
Watu wote waliooa, waumini wa dini zote wanakutana na rabsha na matatizo mbalimbali katika maisha yao ya ndoa, na matatizo mengine hufikia hatua mbaya(irreparable) na kusababisha kuachana kwa wanandoa(Mungu pishia mbali).
Na ikumbukwe kwamba couples zote zinapofunga ndoa zinapata cheti cha aina moja cha kiserikali (kwa Tanzania).
Swali langu linakuja hivi, je ndoa inaposhindikana, na wanandoa wakaamua kuachana pasipo uwezekano wa kurudiana, kwanini kile cheti cha ndoa hakichanwi ili kuthibitisha kutengua ndoa husika?
Je haihofiwi kwamba kinaweza kutumika kinyume na ndoa iliyovunjika?...
Kuna hii kitu nataka kushea na nyie.
Watu wote waliooa, waumini wa dini zote wanakutana na rabsha na matatizo mbalimbali katika maisha yao ya ndoa, na matatizo mengine hufikia hatua mbaya(irreparable) na kusababisha kuachana kwa wanandoa(Mungu pishia mbali).
Na ikumbukwe kwamba couples zote zinapofunga ndoa zinapata cheti cha aina moja cha kiserikali (kwa Tanzania).
Swali langu linakuja hivi, je ndoa inaposhindikana, na wanandoa wakaamua kuachana pasipo uwezekano wa kurudiana, kwanini kile cheti cha ndoa hakichanwi ili kuthibitisha kutengua ndoa husika?
Je haihofiwi kwamba kinaweza kutumika kinyume na ndoa iliyovunjika?...