kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,310
- 12,607
Khabari za Juma Mgunda na Nabi kuwa hawana sifa za kuwa kwenye benchi la ufundi la simba na Yanga wakati wa mechi za CAF zilisambaa kama moto wa nyika unavyosambaa haraka na kuunguza kila kitu bila huruma.
Wachambuzi na wanahabari wetu uchwara waliumbuka sana safari hii baada ya Mgunda na Nabi kuwa wasimamizi wakuu wa mabenchi ya ufundi ya timu za kwa mafanikio makubwa, haki ya Mungu wameumbuka.
Hawataki kubalance hadithi zao kwa lengo la kukimbilia kuwa wa kwanza kutoa habari zisizofanyiwa uhakiki za kishabiki na kinazi, upuuzi mtupu.
TFF iwatungie kanuni wachambuzi na wanahabari wa michezo nchini pia zitakazowabana wakiandika uongo.
Wachambuzi na wanahabari wetu uchwara waliumbuka sana safari hii baada ya Mgunda na Nabi kuwa wasimamizi wakuu wa mabenchi ya ufundi ya timu za kwa mafanikio makubwa, haki ya Mungu wameumbuka.
Hawataki kubalance hadithi zao kwa lengo la kukimbilia kuwa wa kwanza kutoa habari zisizofanyiwa uhakiki za kishabiki na kinazi, upuuzi mtupu.
TFF iwatungie kanuni wachambuzi na wanahabari wa michezo nchini pia zitakazowabana wakiandika uongo.