Huoni kama CCM wanachemka hapa kidogo, kwa sababu hawajafungua hata tawi tayari wana mwenyekiti wa tawi, democrasia si lazima viongozi wachaguliwe? Hao wanaotajwa hapo kama mwenyekiti wa CCM na mwenzake ni viongozi wa chama cha watanzania wa jimbo hilo sasa kama dhamana yao ya uongozi wa watanzania wa hapo ambao walitengeneza umoja bila kujiaffiliate na chama chochote utatumika kwa ajili ya CCM then wanakuwa wamewasaliti watanzania waliowachagua.
Mkuu Heshima ikurudie,
1. Binafsi I am very troubled na hizi tabia, unless kama kuna somebody anaweza kunielimisha, kwamba WHY? Tawi la CCM? Kwanini sio chama cha wa-Tanzania wote tu?
- I mean tawi la wa-Tanzania wote linakuwa na nia ya kuwajumuisha wananchi wote walioko nje, katika area fulani, lakini sasa hii ya CCM tu I mean ni haki ya kila mwananchi kuamua kufanya anchokitaka, lakini wale mnaoanzisha haya matawi, please mnaweza kuwa open kwamba nia na madhumuni yenu hasa ni nini?
2. Karibu robo 55% ya maisha yangu nimeishi nje ya bongo, na nimeona mengi sana, na moja la muhimu nililojifunza lilikuwa kwamba wananchi wengi kule nje, ambao hatukuwa kule kusoma, au kupelekwa na taifa, au international communities, ukweli ni kwamba kwa standard za bongo tulikuwa ni life failures, na kule majuu ndio tumepata a second chance, au tulikuwa masikini bongo tumekwenda kubangaiza kujaribu kujichomoa kwenye umasikini, kwa lugha nyingine ni watafutaji wa maisha na uchumi, by anymeans necessary,
- Sasa hapa ni kwamba, kama hii ndio ukweli wenyewe na ni clear kuwa nikiwa majuu sijawahi kuona mbongo anafanya shughuli yoyote isiyokuwa na manufaa kwake, pleaase! now my question ni kwamba kwa kufungua hizi matawi ya CCM, ambayo wananchi wote sio members, na kwamba ubalozi chombo muhimu kwa wananchi huko ni lazima kiwe pro-CCM, sasa hawa waanzishaji wanatafuta manufaa gani hasa? Halafu wanafikiri vipi kuhusu wananchi wasiokuwa wanachama?
- Rais au kiongozi yoyote wa taifa anapokwenda huko majuu ni vyema akakutana na wananchi wote bila ya kubagua, lakini kwa mwendo huu sasa hivi tutakuwa na matabaka huko nje, ambayo pia yapo nyumbani katika hizi party lines, sasa wananchi wanyonge huko nje ambao ni wengi itakuwaje kuhusu their fate na serikali yao, ambayo sio siri with tawi la CCM in hand, wataamini kuwa only through taiw hilo ndio wanaweza kuwa-reach out wananchi wote? wakati realistically ni false idea?
- Hivi mji kama Missouri utakuwa na wabongo wangapi? Labda roughly kama 500, sasa 200 wakifungua tawi la CCM, wengine 300 wanafanya nini iwapo sio wanachama wa tawi hilo hasa wanapopatwa na matatizo? Hivi kweli hapo hakuna group pressure ya kuwalazimisha kujiunga na tawi bila their will? Kwa sababu Rais akija huko na ana muda mfupi hawezi kuwaona wananchi wote hao 500, guess what? According to my experience wataitwa wachache tu yaani members wa tawi la hapo mahali CCM, that is wrong!
Ninaomba kuona ni ana madhumuni ya kuanzishwa kwa haya matawi, kwa sababu yananitia wasi wasi sana kuwa kuna watu achache wanaotaka kujiweka sawa na CV zao kwa ajili ya mbele ya safari, infact hivi ndyvyo mbunge Nyami, alivyofanikiwa kuwa mbunge akitokea Minnesota ambako alijihusisha sana na serikali na NGO ya mama mkapa na kujipatia kijiko,
Kwa hiyo mkuu Mag kwa kweli ni vyema tukachambua vizuri kuhusu hasa nini nia za vinara wa haya matawi, ambayo emngi yao ayanishia kuongozwa na watoto wa viongozi wetu wa CCM bongo, sasa maaana yake hasa ni nini? Maana nina wasi wasi kuwa wengi wetu tunajaribu kutafuta a second chance ya kujaribu maisha bongo kwa migongo ya wachache wenzetu, and that is wrong!