Wapishi wa siku hizi nao wavivu pia inachangia viungo wananunua vishasagwa au kumenya unategemea harufu itatokea wapi? Kitunguu thomu kinamenywa mwezi mzima kinatiwa kwa plastic alafu upishi wenyewe pia tunaripua hatuna tungo Kama wazee wetu wa zamani kwa mfano mchuzi ulikua unapikiwa kwenye chungu cha udongo siku hizi kwenye sufuria wengine hata kwenye microwave N.k