Kule kusini watu wanakula
hadi ma majongoo, akina nshomire mambo ya senene, nasikia baadhi ya
wazenji punda halali yao, makristu eti kitimoto! Kwa wachina kila
kilichoumbwa eti halali yao! Laanakumshetwan!
Kule kusini watu wanakula hadi ma majongoo, akina nshomire mambo ya senene, nasikia baadhi ya wazenji punda halali yao, makristu eti kitimoto! Kwa wachina kila kilichoumbwa eti halali yao! Laanakumshetwan!
waonaje waarabu kula ngamia, mmmh Jesus!
Wakiristo hula NGURUWE
Kwetu uchagani kuna chakula kiitwacho KIBULU.Ni mchanganyiko wa ndizi,maharage,magimbi na magadi. Huvutia sana unapokunywa na kama wewe ni mgeni basi ni vgumu kuomba nyongeza manake knatamanisha uspime.
Wakiristo hula NGURUWE
nyani bongo wengi tu kwa mfano wapogoro[/QUOTE we mpalu usiniambie.hata hivyo ni kawaida Mungu alitupa kila kitu kisicho sumu tule.as far as nyani haziwadhuru wapogoro acha wajilie vitu adimu.nyama tamu bwana asikwambie mtu.