Ndio mana walimsumbua hadi kumfunga na hatimaye alifariki, wazungu wanajua kua hawataki mfahamu haya mambo wao wanataka muendelee kunywa ma hennesy, ma wisky na mapombe huku mkijazia na machipsi maburger, ma kuku wa kfc, yani mle tu ndio mupate hayo makansa na makisukari mshindwe kutibu muanze madozi ya mionzi na upuuzi mwingine ili muzidi kujimaliza but ukweli ndio huu kwamba haya mavyakula ndio maugonjwa yenyewe na dr sebi aligundua hayo yote na nashukur Mungu nimeshtuka mapema.
Sent using
Jamii Forums mobile app