Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 9,912
- 11,784
Yote hayo ni kujihangaisha tu.Alizaliwa Horrendous, sasa hivi ni marehemu, vyakula vyake vingi ni hivi tunavyoviona kila siku, kwa mfano nyanya anazo zikubali ni zile nyanya ndogo ndogo sana, asali mbichi, nk.
Yeye huyo dr mbagua vyakula, aliishi miaka mingapi?
Kama mwili wangu ukiugua, basi nitafuata masharti ya mlo yatakayotolewa kitabibu.
Vinginevyo ni kujipatia stress zisizo na ulazima wowote.
Sent using Jamii Forums mobile app