Vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume

Vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume

Kati ya vitu vinavoniumiza moyo kwa sasa ni huu upungufu wa nguvu za kiume kwakweli
Yani inaniathiri sana......

Mmmh.. Kama hub wako ana kitambi muambie akipruni. Halafu atumie gahwa kwa wingi. Tatizo likiendelea nione faragha.
 
1397288137410.jpg View attachment 150810lishe bora kwa kazi maalum
 
Hihihi jaman Evelyn salt anahaha sna kila akikuta thread inaongelea nguvu za kiume anatoa dukuduku lake
 
hahahaaa hku kwetu kuna kitu kinnaitwa mkuyatiii + losholorooo looooh lazma mtu kesho akiamka lzma akupe shikamoo,kama c kukutafutia zawadi,au kukupikia vizurii kama ni mama wa ndani,kama ni mchepuko hatokuachiaaa ngooo.
Pia ni juhudi zako pia katika kuipangilia ile kitu pale unakuwa 6*6 kwasababu hii kitu unakula si ya kukufurahisha wewe pekee hata partner wako pia nae afurahi kwa namna unavyomhudumia.Maana ukienda mwendo wa mkao(style) moja utakuwa haumfurahishii mama yeyoo.
ONYO HII KITU HAIFAI KABISA KWA WALE WENYE SHINIKIZO LA DAMU NA WALE WENYE KISUKARI...HII INAWZA LETA MADHARA PALE UNAPOKUWA KATIKA SHUGHULI.
 
ahsante, hata hao wasionazo walikuwa wanasema wapo vizuri....

mie niko salmin mana mpaka nimeonekana na mpashida khairat wang mana ashindwa yeye.fami llah karibu kilwa upate shurba bibie mana wamejaa tele.
 
Tafadhari hapo katika maandishi mekundu kuna tatizo

Kujumuisha wanaume wote sidhani kama ni sahihi.

Si kweli kabisa mimi utafikiri niko under 30 kwakuwa gemu langu si ngoma ya kitoto katukosea huyo
 
Ni vyakula gani vinavyoongeza ufanisi wa kufanya mapenzi zaidi kwa mwanaume kama ilivyo supu ya pweza?
 
Uwezo binafsi ndo muhimu, hayo mengine mbwembwe tu Ata unywe supu debe, unaweza ukaishia kumuumiza mwenzio tu
 
Back
Top Bottom