Vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume

Vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume

Ndo hivo na Hali ikiendelea ntatafuta mtu wa kunikansel
yani siku hizi kila mwanaume hana nguvu mi ntaishije sasa

Tafadhari hapo katika maandishi mekundu kuna tatizo

Kujumuisha wanaume wote sidhani kama ni sahihi.
 
ni kupangilia mro 2 ni hivi unajua leo gem ipo asubuhi supu ya kongolo chapat 2 mchana ugali mboga za majani kunywa maji kwa wingi sa kumi hiv konyagi ndogo ondowa msongo wa mawazo sasa kamata mtoto lazima achomoe mzigo auchunguze tena
 
yote muliotaja hamna kitu hapo bao moja kidume unaelekea ukutani km fundi rangi . chukua pweza mkubwa mchemshe weka na tangawizi kunywa muda wa jioni hivi utachapa miti mpaka mdada masikio yataziba atasikia mdudu analia swiswiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Bandugu,tukirudi kwenye uhalisia. Mdau wa kawaida kama mimi na wengine wengi humu lets say anayepiga milo yake mitatu ya kawaida ya kitanzania, atajipimiaje hizo 95g za fat zinazotakiwa?

Tanzania ya sasa siyo ile ya miaka ya Sitini,kwa taarifa ni kwamba Tanzania ya sasa ina watu wengi sana waliofika elimu ya juu. Wanajitambua na ndiyo kupitia hao leo hii wapo mstari wa mbele kusaidia ndugu jamaa na marafiki. Mfano ni hapa JF kuna watu tunajifunza mengi mazuri japo kuna wanaojifunza mabaya pia.

Sasa 95g ya fat ulikua mfano wa kujaribu kuwakumbusha wanajamii tu jinsi gani ya kula vyakula kwa mpangilio mzuri. Hususani watu wanaonunua vitu vilivyofungwa toka madukani hasa supamaketi. Kumbuka watu wengi wenye maisha nafuu hujifanyia manunuzi ya vyakula vyao supamaketi sasa kule vitu vingi vipo kivipimo zaidi. Lakini pamoja na vipimo vyote lakini unakuta mtu anataka kula chokoleti pakiti 1 kila siku kuanzia jtatu hadi Ijumaa.

Kama ni chakula cha kupika nyumbani suala la mafuta wamapishi wengi wako makini na vipimo. Kumbuka pia wataalamu wa afya wanashauri tufanye mazoezi ili kupunguza vitu ambavyo vitakavyoongezeka ambavyo mwili hauviitaji
 
ni kupangilia mro 2 ni hivi unajua leo gem ipo asubuhi supu ya kongolo chapat 2 mchana ugali mboga za majani kunywa maji kwa wingi sa kumi hiv konyagi ndogo ondowa msongo wa mawazo sasa kamata mtoto lazima achomoe mzigo auchunguze tena

Duh..! Usijisahau sana kuna watu wako ndani ya ndoa na hawatumii kilevi aina yoyote ile hapa si watakua wamefeli..?

Pia ukiendelea na dozi hii ujue muda si mrefu utakua umeongeza tatizo lingine la ini kutokana Konyagi wakati Alcohol addiction atakua hatua chache pia.
 
Duh.... vijana hamjiamini kbs. Kila kinachosemwa mmo! Mnawatesa sana Dada zetu. Fanyeni mazoezi sana na muepuke kula sukari ovyoo. Zaidi ya yote someni bila kuchoka kujiongezea ujuzi mbalimbali.
 
Ndo hivo na Hali ikiendelea ntatafuta mtu wa kunikansel
yani siku hizi kila mwanaume hana nguvu mi ntaishije sasa

Utakua na joto Kali na bht mby kwenye orodha yako hakuna anayejua kukabiliana na hilo. Kinyume chake wanafurahia hali iyo na kujiachia. You need to work on it together
 
Tanzania ya sasa siyo ile ya miaka ya Sitini,kwa taarifa ni kwamba Tanzania ya sasa ina watu wengi sana waliofika elimu ya juu. Wanajitambua na ndiyo kupitia hao leo hii wapo mstari wa mbele kusaidia ndugu jamaa na marafiki. Mfano ni hapa JF kuna watu tunajifunza mengi mazuri japo kuna wanaojifunza mabaya pia.

Sasa 95g ya fat ulikua mfano wa kujaribu kuwakumbusha wanajamii tu jinsi gani ya kula vyakula kwa mpangilio mzuri. Hususani watu wanaonunua vitu vilivyofungwa toka madukani hasa supamaketi. Kumbuka watu wengi wenye maisha nafuu hujifanyia manunuzi ya vyakula vyao supamaketi sasa kule vitu vingi vipo kivipimo zaidi. Lakini pamoja na vipimo vyote lakini unakuta mtu anataka kula chokoleti pakiti 1 kila siku kuanzia jtatu hadi Ijumaa.

Kama ni chakula cha kupika nyumbani suala la mafuta wamapishi wengi wako makini na vipimo. Kumbuka pia wataalamu wa afya wanashauri tufanye mazoezi ili kupunguza vitu ambavyo vitakavyoongezeka ambavyo mwili hauviitaji

Bandugu, nakuelewa kiasi fulani tena nia yako njema sana,lakini yote,elimu ya juu ya kibongo,kujitambua na kufanya shopping supermarket hakumaanishi hicho unachosema. Watu wamesoma sawa, wananunua msosi supermarket sawa....Je wangapi wanasoma ingredients na gram zake? Who flips the package around bwana?Fact..wachache sana. Waulize watu humu hata mimi pia,unatumia fats,protein au cabs gram ngapi kwa siku??..Hey, we simply don't know.
Point yangu ni..,kutoa ushauri ni safi sana lakini shauri kiujumla tu kuhusu mfumo mzuri wa kuishi kiafya..Forget about grams..Hayo mambo kwetu bado na kama kuja baadae sana na yatagusa percent ndogo mno ya wabongo.
 
...

...parachichi, uji wa karanga, samli, ugali wa mtama/ulezi, mayai ya kienyeji, wali wa kuku(kienyeji), ugali wa mapumba, matobolwa live, asali wali maharage, .....shushia na guinness mbili kavu kavu !!!

Hatoki mtu hapa
 
Habari wanajamvi.

Mimi natokea unyamwezini ambapo hutumia asali ya nyuki wadogo ikichanganyw na mdarasini kitu inakuwa kama mti mkavu.

Kwenye mechi lazima mtoto aombe maji ya kunywa, je hapo maeneo ya kwenu mnatumia vyakula gani vya asili kuongeza nguvu za kiume? Naomba kuwasilisha.

Mdalasini na asali unafanyaje ?
 
...

...parachichi, uji wa karanga, samli, ugali wa mtama/ulezi, mayai ya kienyeji, wali wa kuku(kienyeji), ugali wa mapumba, matobolwa live, asali wali maharage, .....shushia na guinness mbili kavu kavu !!!

Hiyo si special diet?
 
Back
Top Bottom