Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Kuna mshikaji anatumia Zanzii.
plus kasichana ka konyagi, mziki wake balaa.
Kuna mshikaji anatumia Zanzii.
Uji wa shurba...
keiyaa ndugu! vip nasikia arusha mvua imeondoa boma mpaka na magari na daraja?Loshoro ni balaaa..
hizo zote ni cha mtoto! unafahamu Ganzi?plus kasichana ka konyagi, mziki wake balaa.
Loshoro ni balaaa..
Unasema kweli?
nilikuw sijui kama
mchanganyiko huu hata KE unampa ashki. Ahsante mkuu ntakuw nampa na
shemeji yako
Kati ya vitu vinavoniumiza moyo kwa sasa ni huu upungufu wa nguvu za kiume kwakweli
Yani inaniathiri sana......