Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,091
- 165,235
Ndo hivo na Hali ikiendelea ntatafuta mtu wa kunikanselHeeeeh!!!
yani siku hizi kila mwanaume hana nguvu mi ntaishije sasa
Ndo hivo na Hali ikiendelea ntatafuta mtu wa kunikanselHeeeeh!!!
Kanywe mafuta ya taa n nomaaa
Ndo hivo na Hali ikiendelea ntatafuta mtu wa kunikansel
yani siku hizi kila mwanaume hana nguvu mi ntaishije sasa
koradani za jogoo wa asili na unga wa habat soda
Kuna mshikaji anatumia Zanzii.
kunywa maji ya chooni mara tatu kwa siku, ndan ya wiki moja dushelele wima 24 hrs, tatizo ni kwamba haitalala tena mpaka unakufa.
Ahsante, hata hao wasionazo walikuwa wanasema wapo vizuri....Sio wote. Wengine tupo vizuri. Pole Evelyn Salt
keiyaa ndugu! vip nasikia arusha mvua imeondoa boma mpaka na magari na daraja?
Sheee patia mimi taarifa doii!
Kati ya vitu vinavoniumiza moyo kwa sasa ni huu upungufu wa nguvu za kiume kwakweli
Yani inaniathiri sana......
Am mo than serious kwenye hili jambo, hujui tu...Weee!!!!
mkuu embu nisaidie kunielewesha vizuri hapo zanzi ni nini hasa??Kuna mshikaji anatumia Zanzii.
....... ndo maana nikasema nitakutafuta.Ndo hivo na Hali ikiendelea ntatafuta mtu wa kunikansel
yani siku hizi kila mwanaume hana nguvu mi ntaishije sasa
Mimi nachofahamu HAKUNA CHAKULA CHA KUONGEZA HIZO NGUVU ZA KIUME
Kitu cha msingi ni kuangalia matendo yako mwenyewe. Mfano kama ni mtu wa kupiga MKONO sasa nguvu zisikimbie kweli wakati unajiharibu mwenyewe. Mkono ni hatari coz hata ule karanga kilo 1 kwa siku kazi bure. Mkono ni Ibilisi mbaya sana coz unakua unauabudu. Kwa wakati unaotaka wenyewe lazima Uobey hata kama uko taiti vipi.
Pili nguvu zinakimbia kwa sababu ya kula ovyo vyakula na kupitiliza viwango. Mfano kipimo cha kula mafuta(fat) kwa mwanaume ni 95g kwa siku ,lakini unakuta watu wanakula 120g kwa siku au zaidi. Sasa haya mafuta yanaenda kulundikana kwenye tumbo,mapaja,kifua n.k. Huu ndiyo mwanzo wa kuzorotesha misuli yote muhimu inayoshirikiana na viungo vya uzazi. Mfano mwanaume usipokuwa na nguvu za miguu itakuwia vigumu sana kukamilisha shughuli hasa mzunguko wa pili na tatu. Hapa watu wanasingizia kuchoka,wakati ukweli upo wazi nguvu za miguu hakuna.
Mazoezi muhimu.Fanya mazoezi kuimarisha misuli yako hiyo hasa ya miguu na tumbo. Mazoezi yanasaidia kutoa sumu mwili hasa kwa njia ya jasho. Mwingine hujijui kwa kiasi gani mwili wako umebeba sumu ndiyo maana wataalam wakatengeneza masauna na stimu ruum kwa ajili ya kuondoa jasho. Inawezekana huna tatizo kabisa ila hiyo sumu mwili inakuzingua