VW Touareg third generation!

VW Touareg third generation!

Ni gari nzuri sana ila bado mm naamini SUV bora zaidi kwa mazingira yetu ya kiafrica ni Toyota Landcruiser ikifuatiwa na Nissan Patrol then Land Rover defender


Nakubaliana na wewe, hata Land Cruiser zenyewe siyo zote, kuna zile tropical edition kama mkonga, hazina electronics nyingi, hata defender lkn siyo hizi za sasa hivi labda zile zamani hivi td5 sahau ni bomu usipime, ukitaka kutumia 4wd unashuka kwanza tairi za mbele unlock twende kazi!!
 
Nakubaliana na wewe, hata Land Cruiser zenyewe siyo zote, kuna zile tropical edition kama mkonga, hazina electronics nyingi, hata defender lkn siyo hizi za sasa hivi labda zile zamani hivi td5 sahau ni bomu usipime, ukitaka kutumia 4wd unashuka kwanza tairi za mbele unlock twende kazi!!
Hizo ndio gari mkuu kwa mazingira ya nchi zetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom