Vurugu Z'bar:Askari mwingine auawa

Vurugu Z'bar:Askari mwingine auawa

:sing:Tanzania Tanzania nchi yenye amani na utulivu, na hayo yote tunapewa na mungu ni jinsi gani tunavyopendelewa mbaya sasa watu sasa hatumwogopi mungu aliyetuumba hivi unategemea maovu haya mungu atakupokeaje?
 
hizi post za kutaka jk arudi ,katika zama hizi za upashanaji habari si atakua anafahamu kila kinachoendelea.naona kama ni pointless.

Na mojawapo ya habari anazopashwa ni wananchi wanamtaka arejee nyumbani kuwavusha kwenye hili wimbi. This leaves you pointless!
 
hizi post za kutaka jk arudi ,katika zama hizi za upashanaji habari si atakua anafahamu kila kinachoendelea.naona kama ni pointless.

Na mojawapo ya habari anazopashwa ni kuwa wananchi wanamtaka arejee nyumbani kuwavusha kwenye hili wimbi. This makes you pointless!
 
itangazwe UAMSHO ni kundi la kigaidi. Definition ya Ugaidi ina-fit kwenye kulielezea kundi la UAMSHO.
 
Wangekuwa wanakufa polisi tu, roho isingeniuma ,,,wamezidi kutumika kwa maslahi ya chama tawala..
 
Kuna habari kuwa usiku wa kuamkia leo kuna askari mwingine ameuawa na safari hii ni askari wa kike ambaye inasemekana nae ameshambuliwa na wanaodhaniwa kuwa ni wafuasi wa kikundi cha UAMSHO,huu utakuwa ni muendelezo wa mauaji ya askari huko Zanzibar baada ya jana kuriporiwa kuuawa kwa koplo Said Abdulrahman...

More updates to follow.
Hivi jamani naomba mjuze kwani napata shida sana kuelewa sababu ya kuuawa hawa polisi...kwa sababu ni watumishi wa serikali?? mbona madaktari au waalimu hawauwawi? kwasababu ni wanausalama?? mbona JWTZ hawaguswi??....nashindwa kabisa kuelewa kabisa.... kwani kitu gani kina thamani zaidi ya uhai?? hawa ni wanadamu...wana ndugu jamaa na marafiki...mnadhani wanawaangalia kwa jicho gani?? nao wakiamua kulipiza kisasi kwao mnadhani tutakuwa katika hali gani?? Kujenga amani ni kazi ngumu sana..lakini kuivunja haihitaji nguvu....damu ya hawa wanauawa wakati tena wako nje ya majukumu ya kazi yao itawaandama.....MUNGU AWALAANI!!!
 
Sipati picha mwema yupojebsasa hivi huko aliko. Maana huku balo, huku zanziba huku kariakoo huku mwangosi huku ulimboka du!
 
Ni hatari sana, jana nliona BBC hadi vitoto vidogo makamu ya shule ya msing vinashiriki Vurugu!! What a shame?? Tanzania inapoteza matumaini ya Amani kwa kweli. Mimi nalia na familia zetu. R.I.P Askari wote.
 
Ni hatari sana, jana nliona BBC hadi vitoto vidogo makamu ya shule ya msing vinashiriki Vurugu!! What a shame?? Tanzania inapoteza matumaini ya Amani kwa kweli. Mimi nalia na familia zetu. R.I.P Askari wote.
 
Amiri jeshi mkuu ametoa amri wauawe wafuasi wa CDM na waandishi wa habari tu. Kama kinachoendelea sasa yaani nchi kutotawalika, kingefanywa na wafuasi wa CDM au CUF au WANAHARAKATI au WAANDISHI WA HABARI mimi nadhani vyumba vya kuifadhia maiti vingekuwa vimejaa. Lakini kwa vile wanaofanya vitendo hivyo ni wadau wa Ikulu hakuna atakaye adhibiwa. Hata wale mahabusu wataachiwa pasipo masharti. Subirini mkutano wa wazee wa Dar-es-Salaam muone ufumbuzi wa tatizo hilo
 
hawa uamsho dawa yao kumiminiwa risasi kama nvua tu.mapolisi ya siku hizi hovyo sana, yaani polisi anakufa na bunduki mikononi, nadhani tatizo liko huko ccp wanakofundishia
 
hawa uamsho dawa yao kumiminiwa risasi kama nvua tu.mapolisi ya siku hizi hovyo sana, yaani polisi anakufa na bunduki mikononi, nadhani tatizo liko huko ccp wanakofundishia

Waasisi wa CRusade war utawajua tu. Vita vya msalaba sio fyuuuu
 
Back
Top Bottom