Vurugu Z'bar:Askari mwingine auawa

Vurugu Z'bar:Askari mwingine auawa

Jamani kama Kova ulinzi umemshinda si aombe msaada kwa Mwamunyange? JWTZ kwa nini msiingilie kati? hao wanochoma makanisa kwa nini wasiende kuchoma au kubomoa kambi ya jeshi wawe na silaha? kama hawajakiona cha moto wanawaonea polisi tuu.
 
KIKWETE, KIKWETE,KIKWETE unafanya nini OMAN nchi inateketea na mwivi
Sioni hata mantiki ya kuulizia aliko Kikwete juu ya hili! Kwani Zanzibar si ina Rais wake? Kazi yake ni nini kama hawezi hata kutoa tamko dhidi ya mambo yanayoihusu nchi yake mwenyewe anasubiri hadi asemewe na Kikwete? Kwani yeye ni mkuu wa mkoa kule? Si amechaguliwa na wananchi? Sioni umhimu wa Kikwete kwenye hili linaloendelea Zanzibar rais aliyepo kule anatosha kuongoza jeshi la polisi kufanya msako wa kufa na kupona wa hawa boko haramu na kuwamaliza kabisa. Najua hawezi kuamrisha jeshi la wananchi lakini siyo jeshi la polisi. Mwambieni Sheini atimize wajibu wake.
 
kwanza huyo RPC wao yani anavyoongea kama vile anambembeleza mkewe! anatoa minjino tu, eti kufa kwa askari imefikia hatua hatutahamaki...! dah kwel tumefika mahali sio.
 
Jamani kama Kova ulinzi umemshinda si aombe msaada kwa Mwamunyange? JWTZ kwa nini msiingilie kati? hao wanochoma makanisa kwa nini wasiende kuchoma au kubomoa kambi ya jeshi wawe na silaha? kama hawajakiona cha moto wanawaonea polisi tuu.
Mkuu sasa Kova ni kamanda wa polisi wa Zanzibar? Jamani ni mapema sana kuongelea habari za jeshi hivi leo. Bado sana hatujafikia huko kwa kuingiza jeshi. By the way jeshi limekuwa trained kuua na kumediate.

Namna nzuri ni viongozi wa serikali na viongozi wa dini kukaa pamoja kuona namna nzuri ya kumaliza hizi vurugu. Maana hakuna sababu ya kujifanya eti mnatuliza vurugu ilihali kiongozi mwingine wa kiislam anatoa tamko la eti wananchi wamtafute wenyewe huyo shehe!

Hapa ndo nashangaa sana juu ya utendaji wa usalama wa taifa, hawakuweza kufuatilia kwa karibu kujua ni nani atatoa tamko na atatoa tamko gani, lenye impact gani, na wakaweza kulizuia kabla ya kutolewa? Hovyo kabisa usalama wa taifa wa nchi hii!
 
  • Thanks
Reactions: awp
Aiseee babaangu huku rombo ndugu zetu wanfanya ibada zao kistarabu awana ugonvi na m2
 
Haya mambo hadi lini ndipo serikali itaona umuhimu wa kuchukua hatua kali?
 
Naomben number ya baba riz 1 nimpigie simu,haezi leta mzaha mzaha tu kwa kila jambo.
 
POLISI ACHA MFE,
MNAJITAKIA WENYEWE SILAHA MNAZO MAMLAKA MNAYO MNASHINDWA KUYATUMIA.
MKIAMBIWA KUWA MKO OVERPOWERED BY SOMEBODY MNAKANA.ENDELEENI KUUWAWA NA
SILAHA ZENU MKONONI.

By the way endelea kutujuza kinachoendelea na ikiwezekana tupia picha za
mauaji hayo.

Baada ya mauaji kutokea nyie ndio wa kwanza kulaum askari oh! Cjui wanaua raia ndio maana wanaogopa.
 
shimo wamelichimba wenyewe sasa polisi wameanza kutumbukia wenyewe kwenye shimo hilo
 
hizi post za kutaka jk arudi ,katika zama hizi za upashanaji habari si atakua anafahamu kila kinachoendelea.naona kama ni pointless.

Alipouwawa BALO KJ alikuwa amesafiri

huyu mnae mtaja c ndo chanzo cha haya yoooote
 
Jamani hii taarifa mbona imebaki kama tetesi je ni kweli kauwawa mbona hamna anayethibitisha?
 
Mnadhani kuwa mna Rais, mnakumbuka alipotembelea Mbagala baada ya vurugu kutokea? badala ya kukemea alikuwa akichekacheka 2. kila m2 ajihami hapa hamna mlinzi wa raia, akina ponda ndo wanatamba kwakuwa wako kwenye mwavuli wa kikwete.
 
Back
Top Bottom