Na bado , siku si nyingi ngumi zitafumuka kwa baba zao lumumba , kuna tetesi kwamba sendeka atafungiwa mlango , eti anabwabwaja sana .yani hawa wezi laana zimeanza kuwarudi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli huu Ni ukoo wa panyaItakuwa kuna mtu alitaka kuchukua buku 8 badala ya buku 7 so wenzake wakamrukia
tulia tuisome pamoja mkuu wataelewa tuCcm maslai inapata shida KWA sasa
haha tayari mmepanic.Wahamie kwenye chaka la mafisadi Chadema
Hatua hiyo inakuja baada ya baadhi ya viongozi na wanachama kutaka Katibu wa zamani Ezekiel Mollel abaki wakati Chama cha mapinduzi kimeamuru katibu huyo arudi makao makuu ya chama jijini Dar es Salam
Bundi atua CCM arusha.
nimependa wote wamevaa sare pendwa za chama.
haha pole sana mkuu naona bundi ametua CCM mnahaha kumdhibiti.Katibu hajiweki huwekwa hawezi kugomea mamlaka iliyomweka akayaweza.Anaambiwa aripoti dar hana ujanja aachie ofisi akabidhi huyo mpya.Naona kama anataka alete mtafaruku ndani ya UVCCM hataweza.Kashindwa Lowasa kutikisa chama atakuwa Yeye MOLLEL?
Yaani atafukuzwa chamani mchana kweupe
Ofisi za Umoja wa Vijana CCM mkoa wa Arusha zimefungwa na wanachama wa CCM mkoani kutaka Katibu mpya Said Gao kupewa ofisi
Hatua hiyo inakuja baada ya baadhi ya viongozi na wanachama kutaka Katibu wa zamani Ezekiel Mollel abaki wakati Chama cha mapinduzi kimeamuru katibu huyo arudi makao makuu ya chama jijini Dar es Salam
Video ni mtiti wa wanachama hao wakipigana kuingia ofisini
[emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji16] [emoji2]Wasingekuwa na Jezi Zao Wangesingizia UKAWA!
haha pole sana mkuu naona bundi ametua CCM mnahaha kumdhibiti.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] HAMKOSWI VISINGIZIOWala sio bundi hao ni TEAMLOWASA waliobaki CCM!! MUDA SI MREFU tutawatimua watakuja huko kwenu.Hapo wako wakifanya maigizo tu baada ya kuhujumu CCM ishindwe Arusha wakati wa uchaguzi mkuu.SASA wako wakionyesha maigizo hao ni CHADEMA waliovaa nguo za CCM!!!
Angekuwa CCM ile tu kushindwa uchaguzi kwa CCM ilitakiwa ajiuzulu hata kesho yake ni ushahidi kuwa hawezi kazi sababu kazi ya kiongozi wa CCM hupimwa kwenye uchaguzi.Huyo kashindwa kazi anang`ang`ania ofisi!!! Anatakiwa apishe mchapa kazi mwingine.Namhurumia na hao CHADEMA wenu wanaojiita wanachama wa UVCCM wanaozuia mpya asiingie kitakachowapata wasilaumu mtu
Ofisi za Umoja wa Vijana CCM mkoa wa Arusha zimefungwa na wanachama wa CCM mkoani kutaka Katibu mpya Said Gao kupewa ofisi
Hatua hiyo inakuja baada ya baadhi ya viongozi na wanachama kutaka Katibu wa zamani Ezekiel Mollel abaki wakati Chama cha mapinduzi kimeamuru katibu huyo arudi makao makuu ya chama jijini Dar es Salam
Video ni mtiti wa wanachama hao wakipigana kuingia ofisini
Ofisi za Umoja wa Vijana CCM mkoa wa Arusha zimefungwa na wanachama wa CCM mkoani kutaka Katibu mpya Said Gao kupewa ofisi
Hatua hiyo inakuja baada ya baadhi ya viongozi na wanachama kutaka Katibu wa zamani Ezekiel Mollel abaki wakati Chama cha mapinduzi kimeamuru katibu huyo arudi makao makuu ya chama jijini Dar es Salam
Video ni mtiti wa wanachama hao wakipigana kuingia ofisini