josegorofani
Senior Member
- Aug 19, 2015
- 197
- 69
Utasubiri sana......Ni kawaida yao hao. Acha wamalizane.
Utasubiri sana......Ni kawaida yao hao. Acha wamalizane.
kuna mwenzao anajilipa buku 8 badala ya buku 7 kwa kila post ndiyo wanamzuiya asiingie ofisini.Wanagombea nn na hawana hata mbunge jirani na hizi ofisi mpaka loliondo uko
mkuu pole sana naona wamekuchania mpaka shati.Utasubiri sana......
huyo-huyo ni mdogo wake iddi mkuluu ndiyo makada wa ccm waliosalia hapo arusha.Rama yupi mkuu huyu wa Raha promotion au yule alikuwa akiwanyanyasa makamanda kule kilombero?
nimejaribu kumpigia simu Lizaboni naona simu yake iko busy atakuwa kapiga simu arusha kwa rama mkuluu ampe taarifa kamili za hili tukio.
CHADEMA hao, wamevaa jezi kuzuga watu.
haya mkuu tumekuelewa.CHADEMA hao, wamevaa jezi kuzuga watu.
wabadili na rangi ya jengoWanaweza pia kusema ni ukawa waamevaa jezi ya ccm we hujui akili za ccm au
Kama cuf na lipumbaKweli fisi ni fisi tu!!hakuna aibu SAA wanagombania mfupa
Ccm maslai inapata shida KWA sasawabadili na rangi ya jengo