Wala sio bundi hao ni TEAMLOWASA waliobaki CCM!! MUDA SI MREFU tutawatimua watakuja huko kwenu.Hapo wako wakifanya maigizo tu baada ya kuhujumu CCM ishindwe Arusha wakati wa uchaguzi mkuu.SASA wako wakionyesha maigizo hao ni CHADEMA waliovaa nguo za CCM!!!
Angekuwa CCM ile tu kushindwa uchaguzi kwa CCM ilitakiwa ajiuzulu hata kesho yake ni ushahidi kuwa hawezi kazi sababu kazi ya kiongozi wa CCM hupimwa kwenye uchaguzi.Huyo kashindwa kazi anang`ang`ania ofisi!!! Anatakiwa apishe mchapa kazi mwingine.Namhurumia na hao CHADEMA wenu wanaojiita wanachama wa UVCCM wanaozuia mpya asiingie kitakachowapata wasilaumu mtu