VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Wanalengwa Waafrika tu. Wanateswa na kuuwawa. Wanakimbia na kukimbizwa. Wanaporwa mali zao. Wananyimwa uhuru wa kuishi kule Afrika Kusini. Kwani Wazungu na Waasia waliopo South si wageni? Kwanini weusi kwa weusi tu?
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam.
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam.