figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
[h=3]MAPAMBANO BADO YANAENDELEA KATI YA POLISI NA WAMACHINGA JIJINI MBEYA[/h]
<TBODY>
</TBODY>
<TBODY>
</TBODY>
Baadhi ya wamachinga wakiwa wamelipindua gari yaina ya toyota na kusimama juu yake huku wakitamka maneno makali kwa polisi na jiji la mbeya kwa kuwanyanyasa katika biashara zao |
<TBODY>
</TBODY>
Huu ndiyo mtaa wengi huuita mtaa wa kasisi uliyosababisha vurugu zote kati ya wamachinga na askari wa jiji |
<TBODY>
</TBODY>