Jaman Mungu gani anategemea askari wenye nyama(mavumbi) na damu wamtetee? Mungu wa kweli hujitetea mwenyewe, wala hahitaji kutetewa na mtu aliyemuumba. Mimi naamini kufanya hivyo ni kushusha hadhi ya MUNGU na kuapndisha hadhi ya binadamu
mtoto wa miaka mingapi? kama yuko chini ya miaka 7,basi hao waliondamana watakuwa na mtindio wa ubongo na FFU wawapige mabomu na vitu vizito.
Tujiandae kwa mandamano zaidi kila siku ya ijumaa baada ya sara,sasa najiuliza huko wanapoenda kusali huwa ni sehemu ya sara au ni sehemu ya mikakati yao ya kimapinduzi!!!!!kama ni kweli wameandamana basi naiunga mkono 100% ile filamu yetu ya nonsense.....,,,
hapana....hatuendi hivyo....kila mtu ana haki....hatufundishwi katika maandiko kudharaulina....na wala kuingiliana katika imani.....kama ni wakristo wamefanya hivyo....nalaani sana hicho kitendo.....ni wapumbavu.....
hapana....hatuendi hivyo....kila mtu ana haki....hatufundishwi katika maandiko kudharaulina....na wala kuingiliana katika imani.....kama ni wakristo wamefanya hivyo....nalaani sana hicho kitendo.....ni wapumbavu.....
Na kama ana umri zaidi ya hiyo miaka saba nini kifanyike? mbona umeishia njiani!!
Mleta mada wacha uwongo sio mtoto alie kojolea ila nimtu mzima, tukio lenyewe ilikuwa jana Usiku.kabla mtuhumiwa hakupewa adhabu na waislam gari la Polisi likamtorosha.inaonekana kabisa nitukio lilopangwa.
hapana....hatuendi hivyo....kila mtu ana haki....hatufundishwi katika maandiko kudharaulina....na wala kuingiliana katika imani.....kama ni wakristo wamefanya hivyo....nalaani sana hicho kitendo.....ni wapumbavu.....
Preta njoo nikonong'oneze
Kwani Ponda ndio mungu wao?hali ni mbaya sana huko kizuiani waislamu wamehamasishana wamejaa kituoni wanataka kumtoa mtuhumiwa wammalize FFU wameshafika ni mabomu kwakwenda mbele! waislam wanampigia ponda atoe maelekezo! ATAKACHOSEMA NDIO WATAKACHOFANYA
Sio mtoto ila nimtu mkubwa
Jihaad haiko mbali