Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,743
Mkuu nakwambia watu hawa washenzi sana,wanalipwa na CHADEMA kueneza uongo tu na uzushi, si wengi ila wanatumia majina mengi kuchanganya akili wasomaji;yanajua hayawezi kushinda katika chaguzi sasa yanaona afadhali wakose wote,Serikali itumie nguvu zake zote kukomesha ushenzi huu.Hizo porojo za kutafuta sababu.