Uchaguzi 2020 Mrema na wanachama wa TLP wamlaki Magufuli Himo, awaombea kura wagombea wa CCM na kumzawadia Magufuli Mbuzi

CCM Damu

Member
Oct 29, 2007
15
28
TLP leo imemlaki Magufuli katika eneo la Himo jimboni Vunjo.

AEEF9B61-F3F7-4C11-AFC1-3FAB0D741164.jpeg


23A880FC-6C30-4F14-89E9-2664D4C0D080.jpeg

7D891663-EA86-41E1-BC8E-8C94F8A7FF70.jpeg

37EB3E42-1F8B-439F-A75F-6C4CA0C98F27.jpeg

Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha TLP Mzee Agustino Lyatonga Mrema

Akizungumza mara baada ya Rais kumpa nafasi ya kumuombea kura, Mrema amewaambia watu wa Himo na Vunjo kuwa kura zote kwa Rais Dk. John Pombe Magufuli na ubunge kura ziende kwa Dk. Charles Kimei.

DB008B3E-4879-4070-81FE-F40EA9E139E7.jpeg
D0539458-ABAE-4FC3-8B75-FD5D0C2E7855.jpeg

Mzee Agustino Lyatonga mrema pia alileta mbuzi mkubwa pamoja na mkungu wandizi kwaajili ya zawadi ya Mh. Rais Dk. John Pombe Magufuli.
 
Inteligensia ya Mrema kubwa " huwezi pambana na adui ungana nae"
 
Nasubiri kauli, karipio, onyo, maelekezo, barua, wito, katazo au msimamo wa ofisi ya msajili wa vyama, na hasa hasa Bwana, Jaji Fransi Mutungi na Sisty Nyahoza.

Karibu, tunawasikiliza.!
 
TLP leo imemlaki Magufuli katika eneo la Himo jimboni Vunjo.

View attachment 1607792

View attachment 1607797
View attachment 1607796
View attachment 1607799
Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha TLP Mzee Agustino Lyatonga Mrema

Akizungumza mara baada ya Rais kumpa nafasi ya kumuombea kura, Mrema amewaambia watu wa Himo na Vunjo kuwa kura zote kwa Rais Dk. John Pombe Magufuli na ubunge kura ziende kwa Dk. Charles Kimei.

View attachment 1607798View attachment 1607794
Mzee Agustino Lyatonga mrema pia alileta mbuzi mkubwa pamoja na mkungu wandizi kwaajili ya zawadi ya Mh. Rais Dk. John Pombe Magufuli.
Hongera Mrema
 
TLP leo imemlaki Magufuli katika eneo la Himo jimboni Vunjo.

View attachment 1607792

View attachment 1607797
View attachment 1607796
View attachment 1607799
Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha TLP Mzee Agustino Lyatonga Mrema

Akizungumza mara baada ya Rais kumpa nafasi ya kumuombea kura, Mrema amewaambia watu wa Himo na Vunjo kuwa kura zote kwa Rais Dk. John Pombe Magufuli na ubunge kura ziende kwa Dk. Charles Kimei.

View attachment 1607798View attachment 1607794
Mzee Agustino Lyatonga mrema pia alileta mbuzi mkubwa pamoja na mkungu wandizi kwaajili ya zawadi ya Mh. Rais Dk. John Pombe Magufuli.
Mrema amejitoa?

Tume na Msajili kimyaa
 
Hiyo ni fursa kwa Chadema na NCCR Mageuzi kuunganisha nguvu ili mmoja wao ashinde
 
Siasa za kijinga ndio huwa zinapendwa na CCM Ndugu zangu Watanzania tungalie mustakbali wa Maisha yetu tusidanganywe na Mambo ya kijinga kijinga na rangi rangi wakati Maisha yetu ni magumu kuliko zamani
CCM ni mabingwa wa kulaghai
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom