TLP leo imemlaki Magufuli katika eneo la Himo jimboni Vunjo.
Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha TLP Mzee Agustino Lyatonga Mrema
Akizungumza mara baada ya Rais kumpa nafasi ya kumuombea kura, Mrema amewaambia watu wa Himo na Vunjo kuwa kura zote kwa Rais Dk. John Pombe Magufuli na ubunge kura ziende kwa Dk. Charles Kimei.
Mzee Agustino Lyatonga mrema pia alileta mbuzi mkubwa pamoja na mkungu wandizi kwaajili ya zawadi ya Mh. Rais Dk. John Pombe Magufuli.
Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha TLP Mzee Agustino Lyatonga Mrema
Akizungumza mara baada ya Rais kumpa nafasi ya kumuombea kura, Mrema amewaambia watu wa Himo na Vunjo kuwa kura zote kwa Rais Dk. John Pombe Magufuli na ubunge kura ziende kwa Dk. Charles Kimei.
Mzee Agustino Lyatonga mrema pia alileta mbuzi mkubwa pamoja na mkungu wandizi kwaajili ya zawadi ya Mh. Rais Dk. John Pombe Magufuli.