- Thread starter
- #21
Hiyo Tank tu,,Hii ni gharama ya tank tuu au tank na gutters?
Hiyo Tank tu,,Hii ni gharama ya tank tuu au tank na gutters?
Hii ni gharama sana mkuu..Najaribu kuwaza je, kama ukifunga gutters kisha ukatengeneza underground water storage system kisha ikawa na separate water purification na solar heating system haiwezi kuwa feasible kweli?
Solar zipo pia.Na umeme wetu huu wa kupima kwenye vidumu
Water Pump Pekee Inatosha?? Hp 0.5?? Still Mafundi Wengine Wanasema Hata Kama Utatumia Pressure Pump Ni Muhimu Na Lazima Tank Liwe Juu Ili Kupata Pressure Nzuri Ya Maji Ndani.Tank lipo chini kwa sababu maji yanatoka juu kwenye gutters, sasa lazima yapate slope ili yatelemke hadi chini kabisa kwenye tank,
Sasa basi Kama utahitaji kutoka kwenye tank kwenda kwenye nyumba yako ni lazima utumie surface water pump ndogo tu kama ya 0.5 hp, kuongeza pressure.
Nafikili umenielewa!!
Sasa kama pump haitoshi hilo underground water tank linatoaje maji? Pump pekee inatosha as longer as maji yapo kwenye tank.Water Pump Pekee Inatosha?? Hp 0.5?? Still Mafundi Wengine Wanasema Hata Kama Utatumia Pressure Pump Ni Muhimu Na Lazima Tank Liwe Juu Ili Kupata Pressure Nzuri Ya Maji Ndani.
Haya...UmeshindaSasa kama pump haitoshi hilo underground water tank linatoaje maji? Pump pekee inatosha as longer as maji yapo kwenye tank.
Matank makubwa ya umma yanajengwa kwa matofari, je hilo la fungus serikali hailioni kama tatizo au wanadhibiti vipi fungusTofali utunza fungus
Hamna mkuu, tunaelekezana tu, unajua kuna muda fundi anaweza kukupa concept kutokana na mazingira au kutengeneza faida kwake, so kila kitu kina condition zake, ndomana kule shuleni tukisoma physics tuambiwa other factors remain constant..Haya...Umeshinda
mkuu na iyo surface water pump bei gani ya 0.5hpTank lipo chini kwa sababu maji yanatoka juu kwenye gutters, sasa lazima yapate slope ili yatelemke hadi chini kabisa kwenye tank,
Sasa basi Kama utahitaji kutoka kwenye tank kwenda kwenye nyumba yako ni lazima utumie surface water pump ndogo tu kama ya 0.5 hp, kuongeza pressure.
Nafikili umenielewa!!
200kmkuu na iyo surface water pump bei gani ya 0.5hp
Serikali tangu lini ikajari watu? Hayo matank stainless steel ndio yanatumiwa na viwanda kuhifadhi vinywaji kama juice na soda na nu Watanzania wachache sana ndio wana uwezo wa welding ya stainless steel, Wakenya ndio wamekamata soko.Matank makubwa ya umma yanajengwa kwa matofari, je hilo la fungus serikali hailioni kama tatizo au wanadhibiti vipi fungus
Achana nao tuzungumze yetuWakenya ndio wamekamata soko.
Swali zuriTank Lipo Chini Je Kuingiza Maji Ndani Pressure Yake Ipoje?? Engineers Wanatuambia Kama Utatumia Tank Kuingiza Maji Ndani Ili Upate Presha Nzuri Ni Muhimu Na Lazima Tank Liwe Juu!