Habari Jku.
Kwa wale waliofanikiwa kujenga na watakaojenga, baada ya nyumba kukamilika, huwa kunawekwa bomba za kukinga maji ya mvua, zinaitwa gutters.
Kipindi mvua inaponyesha hizi gutters ndio zinakinga maji na kuyaelekeza mahara pa kwenda.
Asilimia ya nyumba nyingi utashuhudia maji haya yanaelekezwa kumwagika tu ardhini au kwenye mitalo (storm water drainage)
Ni vizuri maji haya yakaifadhiwa kwa matumizi ya baadae, njia bora ya kuhifadhi maji haya ni kuonganisha na tank la maji ambalo ni stainless steel. Tank hizi ni nzuri zaidi kwa kuhifadhia maji kwa sababu hazisupport mazingira ya wadudu kukaa au kuota ndani ya tank ,hivyo kufanya maji kuwa salama kwa kipindi kirefu.
Sasa karibu;
Unaweza kuwasiliana nasi sasa, Kwa huduma za kufunga gutters,
Kuunganisha tank za maji na drainage system.
Dsm- 0699494650
Iringa,Mbeya,- +255734660368
Tanga,Arusha- +255 693 910 388
Kwa wale waliofanikiwa kujenga na watakaojenga, baada ya nyumba kukamilika, huwa kunawekwa bomba za kukinga maji ya mvua, zinaitwa gutters.
Kipindi mvua inaponyesha hizi gutters ndio zinakinga maji na kuyaelekeza mahara pa kwenda.
Asilimia ya nyumba nyingi utashuhudia maji haya yanaelekezwa kumwagika tu ardhini au kwenye mitalo (storm water drainage)
Ni vizuri maji haya yakaifadhiwa kwa matumizi ya baadae, njia bora ya kuhifadhi maji haya ni kuonganisha na tank la maji ambalo ni stainless steel. Tank hizi ni nzuri zaidi kwa kuhifadhia maji kwa sababu hazisupport mazingira ya wadudu kukaa au kuota ndani ya tank ,hivyo kufanya maji kuwa salama kwa kipindi kirefu.
Sasa karibu;
Unaweza kuwasiliana nasi sasa, Kwa huduma za kufunga gutters,
Kuunganisha tank za maji na drainage system.
Dsm- 0699494650
Iringa,Mbeya,- +255734660368
Tanga,Arusha- +255 693 910 388