Vpn free internet

Vpn free internet

ya tayar.. kuna mkuu katoa wazo zuri hapo juu,, saiv tuende kwa pm tu,, hata basi likipata ajali(karibuni) tuzidi kukamua kimyakimya kwa wale wenye uchungu..

madogo wasituharibie bora tuwasiliane Pm
 
Huyo dogo mbona analeta mambo ya kiboya sasa? Mbona kaanika hadi mtandao kule kwenye blog yake? Si mambo ya kitoto haya? Anayemjua amwambie atoe ile advert ah$/@>%{#^]'

huyu member wa hapa JF Sadru
Lkn issue ije mtu kama unamuibia basi usimwambie iwe kimya kimya
sana sana kutaja unayemuibia ni issue kubwa sana yaani hata kama ningekuwa mm ningejisikia vibaya kujua lets say mke wangu anaibiwa....borea aliwe kimya kimya kuliko kuliwa nikajua
 
Last edited by a moderator:
huyu member wa hapa JF Sadru
Lkn issue ije mtu kama unamuibia basi usimwambie iwe kimya kimya
sana sana kutaja unayemuibia ni issue kubwa sana yaani hata kama ningekuwa mm ningejisikia vibaya kujua lets say mke wangu anaibiwa....borea aliwe kimya kimya kuliko kuliwa nikajua

kumbe msaliti wetu yupo hapahapa,, inasikitisha kweli,, wewe sadru umeona wapi watu wana akili kama zako?
haya kaondoe upesi utumbo wako kule kabla hatujaiweka juuu chini,chini ju blog yako.
 
kumbe msaliti wetu yupo hapahapa,, inasikitisha kweli,, wewe sadru umeona wapi watu wana akili kama zako?
haya kaondoe upesi utumbo wako kule kabla hatujaiweka juuu chini,chini ju blog yako.

hahaha ndio dawa yake hapo!
 
  • Kama unatumia MAC OSX 10.6 or New version
  • Nijulishe nikupe kitu unlimited, Huto lipia chochote.
  • New tunnel VPN with 24 servers, all supporting Torrents. With supper speed

Hizo server za torrents ziko nyingi sana na kuna wakati ziko slow. Kuna ambayo unaijua iko fast mda wote au ndo kucheza na kubahatisha mida?
 
Hizo server za torrents ziko nyingi sana na kuna wakati ziko slow. Kuna ambayo unaijua iko fast mda wote au ndo kucheza na kubahatisha mida?
  • Server zote ziko safi - Ila hizi za nchi za ulaya ndio nzuli zaidi viz: Germany , Sweeden, France, muda wote zipo fast
 
ma guru wa tunneling. mbona airtel bado ukiunga na pd proxy wanakata mkwanja...
 
naomba na mimi nipatie hiyo ya mac. tayari natumia kwenye bootcamp pd proxy, so kama zina relate niambie.
 
mwana naomba basi hiyo solution through airtel. Mi tayari ni prem pd proxy user so nipe maujanja.
 
mkuu mi natumia mac osx 10.9.... Ebu nipe ma ujanja nile cha bure....
  • Offer ya bure ilikuwa mahsusi kwa kichwanazi. Muanzisha uzi
  • MAC OSX 10.9 inakubali vizuli.
  • Kumbuka nimesema minimum ni 10.6
  • Nipigie nikuunganishe 0768 92 48 41 , karibu
 
  • kama unatumia mac osx 10.6 or new version
  • nijulishe nikupe kitu unlimited, huto lipia chochote.
  • new tunnel vpn with 24 servers, all supporting torrents. With supper speed
mkuu nisaidie hiyo ya mc please
 
Back
Top Bottom