Vpn free internet

Vpn free internet

mimi natumia zorin os nadhani hayo makitu yatanifaa so nipe pande mkuu
  • Zorin OS ni linux based OS
  • Sijawahi tumia hii zorin os
  • Tunnel zilizopo sokoni ni kwa MAC OSX 10.6 au zaidi na WINDOWS kama ujuavyo.
​Karibu
 
NADHANI KUNA MANENO YATAKUWA YANAWEKWA PALE KWENYE APN AU KUNA NAMNA YA KUIFANYA ICONNECT


Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

yap inawezekana kabisa,, hata ikivuja apn hawa jamaa wako macho 24/7.. fasta wanafunga,, hehe wengi wetu mashahidi humu.
 
yap inawezekana kabisa,, hata ikivuja apn hawa jamaa wako macho 24/7.. fasta wanafunga,, hehe wengi wetu mashahidi humu.

Unayo 20,000/- nikupe namba ya huyo jamaa anauza hizo settings maana mm nimepewa namba yake lkn hiyo nimekataa maana mwenyewe cracker ntakomaa ntazipata
 
Unayo 20,000/- nikupe namba ya huyo jamaa anauza hizo settings maana mm nimepewa namba yake lkn hiyo nimekataa maana mwenyewe cracker ntakomaa ntazipata

sikia tuchange tuwatafte wadau kama kichwanazi na yoyote yule then tukipata tunakuja kushare pm,, lakin nakushangaa ww ndo reseller wa mavpn unaona tabu kutoa buku 20.
 
una voucher za droidvpn?
Hapana sina voucher za droidVPN

  • DroidVPN hawatoi voucher codes
  • DroidVPN wao wana option ya ku_upgrade account yako kuwa Premium kwa kutumia PayPal, Waweza kuni_PM kwa hili swala kama unahitaji pata Premium Account
Karibu
jna8.jpg
 
sikia tuchange tuwatafte wadau kama kichwanazi na yoyote yule then tukipata tunakuja kushare pm,, lakin nakushangaa ww ndo reseller wa mavpn unaona tabu kutoa buku 20.

Siku hizi madogo hawana Adabu na basi hili linapinduka sio mda mrefu upepo ushaharibika
Mtakaso nyote
Na hiyo itakuwa mwisho wa kufanya buz za free net JF sababu itakuwa ajari ya pili

waulize akina never giver up,big boi,Biohazard kwa nn waliacha hadi kuja hapa JF sababu ya ile ajari ya zantel na wenyewe ndo walikuwa pioneers kasome nyuzi za munjy1 na pd proxy huone waliokuwa mstari wa mbele najiulize kwa nn waliona jf ni uzushi
 
  • Mkuu DEVUKOTA kitambo hujaonekana hapa jukwaani , ulikuwa wapi ndugu? KRAPKA DAVINOOOO!!

Nilikuwa Kule chicken pasta mixa Mozallera kaka afu Mambo tight sana mpaka jukwaa nikawa naliona chungu!!
Sasa nipo Migo migo napata urojo na zanzibar pizza tusongeshe kama kawa. Mzee wa Guru Pajero yukowapi siku hizi hata e2themiza pia sioni nyuzi zake humu KRAPKA DAVINOOOO!!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Siku hizi madogo hawana Adabu na basi hili linapinduka sio mda mrefu upepo ushaharibika
Mtakaso nyote
Na hiyo itakuwa mwisho wa kufanya buz za free net JF sababu itakuwa ajari ya pili

waulize akina never giver up,big boi,Biohazard kwa nn waliacha hadi kuja hapa JF sababu ya ile ajari ya zantel na wenyewe ndo walikuwa pioneers kasome nyuzi za munjy1 na pd proxy huone waliokuwa mstari wa mbele najiulize kwa nn waliona jf ni uzushi

Hapo Umenena!! maana juzi nimishangaa kijana anaomba matobo huku akiutaja kabisa mtandao wenyewe bila kujua kama anachafua hali ya hewa KRAPKA DAVINOOO!!!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Siku hizi madogo hawana Adabu na basi hili linapinduka sio mda mrefu upepo ushaharibika
Mtakaso nyote
Na hiyo itakuwa mwisho wa kufanya buz za free net JF sababu itakuwa ajari ya pili

waulize akina never giver up,big boi,Biohazard kwa nn waliacha hadi kuja hapa JF sababu ya ile ajari ya zantel na wenyewe ndo walikuwa pioneers kasome nyuzi za munjy1 na pd proxy huone waliokuwa mstari wa mbele najiulize kwa nn waliona jf ni uzushi

ishu kam hiz kama watu hawajawa ki2 kimoja kam ilivokuwa enzi zilee, mambo hayaendi sawa.. lakin bwana mkubwa ww ndo ulianza,nakumbuka ulikuwa unamkosoa paje hadharan,, wataalam wakinuna tutabakia underground tunahaha,tunachojali pesa na maslahi mbele bila utu. mkuu paje na e2themiza ni msaada mkubwa hapa jukwaan ila baada kuona kuna wanafiki hapa wamekata chochoro.. pia kuna uwezekano hawa marafiki wazaman wote wako chimbo moja,,, ndo mana tunaskia kuna watu wanauza apn setting kwa buku 20.. pathetic! tungekuwa ki2 kimoja leo tungepata hizo tricks for free kabisa.Tusipojirekebisha HUKO TUENDAKO NI BALAA ZAIDI,, yangu macho.
 
ishu kam hiz kama watu hawajawa ki2 kimoja kam ilivokuwa enzi zilee, mambo hayaendi sawa.. lakin bwana mkubwa ww ndo ulianza,nakumbuka ulikuwa unamkosoa paje hadharan,, wataalam wakinuna tutabakia underground tunahaha,tunachojali pesa na maslahi mbele bila utu. mkuu paje na e2themiza ni msaada mkubwa hapa jukwaan ila baada kuona kuna wanafiki hapa wamekata chochoro.. pia kuna uwezekano hawa marafiki wazaman wote wako chimbo moja,,, ndo mana tunaskia kuna watu wanauza apn setting kwa buku 20.. pathetic! tungekuwa ki2 kimoja leo tungepata hizo tricks for free kabisa.Tusipojirekebisha HUKO TUENDAKO NI BALAA ZAIDI,, yangu macho.

Teena ungejua mm na Paje shida ilikwa ndogo tu maana kuna tatizo la kiufundi lilijitokeza kwa TG na Voucher zangu zikawa zinaonesha ziko applied kwa email ambao iko similar to paje....Lkn tuli-sort out hiyo issue na ningekuwa na uwezo ningekuonesha PM zangu mm na Paje kukuonesha ni kitu kimoja na Huwa ananunua PD PROXY from me😎
 
sikia tuchange tuwatafte wadau kama kichwanazi na yoyote yule then tukipata tunakuja kushare pm,, lakin nakushangaa ww ndo reseller wa mavpn unaona tabu kutoa buku 20.

Hapo umenena mkuu me niko tayari tufanye huo mchakato elfu ishirini kwa sisi tunaopenda kujua vitu vingi sio tatizo
 
Siku hizi madogo hawana Adabu na basi hili linapinduka sio mda mrefu upepo ushaharibika
Mtakaso nyote
Na hiyo itakuwa mwisho wa kufanya buz za free net JF sababu itakuwa ajari ya pili

waulize akina never giver up,big boi,Biohazard kwa nn waliacha hadi kuja hapa JF sababu ya ile ajari ya zantel na wenyewe ndo walikuwa pioneers kasome nyuzi za munjy1 na pd proxy huone waliokuwa mstari wa mbele najiulize kwa nn waliona jf ni uzushi

tujaribu mkuu yaweza kuwa ndo njia sahihi me nadhani haita athiri chochote na free net zitaendelea kuuzwa kama kawa usiogope mkuu me nina imani juu ya hilo
 
Siku hizi madogo hawana Adabu na basi hili linapinduka sio mda mrefu upepo ushaharibika
Mtakaso nyote
Na hiyo itakuwa mwisho wa kufanya buz za free net JF sababu itakuwa ajari ya pili

waulize akina never giver up,big boi,Biohazard kwa nn waliacha hadi kuja hapa JF sababu ya ile ajari ya zantel na wenyewe ndo walikuwa pioneers kasome nyuzi za munjy1 na pd proxy huone waliokuwa mstari wa mbele najiulize kwa nn waliona jf ni uzushi

umeongea point tupu mkuu
 
Hapo umenena mkuu me niko tayari tufanye huo mchakato elfu ishirini kwa sisi tunaopenda kujua vitu vingi sio tatizo

ok kwa kuanzia tungemuomba wamavoko atuhakikishie huyo jamaa kam ni mkweli,, then kila anaetaka anipm mm.. buku 20 tungepata wa2 kam 10 na kila m2 atoe buku 2.. wale wanaorun mda wote hili jukwaa na wenye moyo wa kweli watapewa priority.. kam kichwanazi,baada ya hapo tutamkabidhi ndugu njunwa,, kitachofata ni kushare hizo setting kwa walochangia.. au mnaonaje wakuu?
 
ok kwa kuanzia tungemuomba wamavoko atuhakikishie huyo jamaa kam ni mkweli,, then kila anaetaka anipm mm.. buku 20 tungepata wa2 kam 10 na kila m2 atoe buku 2.. wale wanaorun mda wote hili jukwaa na wenye moyo wa kweli watapewa priority.. kam kichwanazi,baada ya hapo tutamkabidhi ndugu njunwa,, kitachofata ni kushare hizo setting kwa walochangia.. au mnaonaje wakuu?

Buku 2 ipo tayari hapa je kijumbe wa huo upatu ni nani?
 
Buku 2 ipo tayari hapa je kijumbe wa huo upatu ni nani?

Kama nilivyosema MADOGO hawana adabu hivo sijawa na uhakika kama ntashare hii kitu na watu wote maana jamaa nshamtumia mpunga hapa ananitumia Settings sio mda ntapiga screenshots kuwaonesha mambo yakitiki
 
Kama nilivyosema MADOGO hawana adabu hivo sijawa na uhakika kama ntashare hii kitu na watu wote maana jamaa nshamtumia mpunga hapa ananitumia Settings sio mda ntapiga screenshots kuwaonesha mambo yakitiki
ebanA enhe.......!!!!
utancheck kule pembeni kamanda
 
Back
Top Bottom