X.800 na kichwanazi nshaipata namba yake naanza kumspy ntaona response yake
poa mkuu,, tunasubir kwa hamu
X.800 na kichwanazi nshaipata namba yake naanza kumspy ntaona response yake
ebanA enhe.......!!!!
utancheck kule pembeni kamanda
ok kwa kuanzia tungemuomba wamavoko atuhakikishie huyo jamaa kam ni mkweli,, then kila anaetaka anipm mm.. buku 20 tungepata wa2 kam 10 na kila m2 atoe buku 2.. wale wanaorun mda wote hili jukwaa na wenye moyo wa kweli watapewa priority.. kam kichwanazi,baada ya hapo tutamkabidhi ndugu njunwa,, kitachofata ni kushare hizo setting kwa walochangia.. au mnaonaje wakuu?
X.800 na kichwanazi nshaipata namba yake naanza kumspy ntaona response yake
tumekaa mkao wa kula.....!!!!
nishajichanganya game ya kwanza anadai kama upo Dar unamfuata (jamaa mjanja sana)
Usije shangaa anasoma haya ninayo yaandika
Lkn nimemtumia mchii wangu amempiga fix yuko Moro hivo kasema atakuwa na PC kwenye mida ya saa tatu usiku au kesho kabisa ....ile ikigonga tatu kamili basi tunaye hewani
ushaigizana King Kamanda?nishajichanganya game ya kwanza anadai kama upo Dar unamfuata (jamaa mjanja sana)
Usije shangaa anasoma haya ninayo yaandika
Lkn nimemtumia mchii wangu amempiga fix yuko Moro hivo kasema atakuwa na PC kwenye mida ya saa tatu usiku au kesho kabisa ....ile ikigonga tatu kamili basi tunaye hewani
ushaambiwa ni ugali moto,mboga moto tena kwenye bakuli la bati so mdogo mdogo umegi tonge kabisaaaaaah jamani ubwabwa huo tunanyimana?
duh hii ki2 kitakuwa si kweli,, ndo wale madogo wanaokuja hapa jf na kujua kuconfigure vpn kwa magic sim card then wanaenda kitaa au facebook na kujisifu wamekuwa mahacker tayar,, kazi bado tunayo kam asilimia me natoa 2%.
nshampa namba kichwanazi mchana maana ewe ulikuwa OFFLINE emu bonga nae usikilize info alizo pata
poa mkuu
- Kama unatumia MAC OSX 10.6 or New version
- Nijulishe nikupe kitu unlimited, Huto lipia chochote.
- New tunnel VPN with 24 servers, all supporting Torrents. With supper speed
wazee wa vpn mbona kimya sana
inamaana hakuna tundu lolote lililogundulika huko duniani
kama kuna maufundi yeyote mliyoyapata tunaomba mtupie hapo kati
akina NJUNWA WA MAVOKO,PAJE,X800,MWL.RCT MPOOOOO
**acheni kuwa kimya hivo hata mungu hapendi**
mkuu server za free haziko stable,, nunua kwa akina wamavoko au yule mwengine alokuja kivyake na buku 7, ule net ya uhakika mwez mzma.
kichwa nazi ulicheki naye?
Haya huyo kalipia kuweka advert katika blog tunakoelekea huku mjiandalie pancha yaani mtandao unawekwa kabisa bila chenga
MAGIC SIM CARD FREE UNLIMITED INTERNET ~ BUGANDO BLOG
duh hii ki2 kitakuwa si kweli,, ndo wale madogo wanaokuja hapa jf na kujua kuconfigure vpn kwa magic sim card then wanaenda kitaa au facebook na kujisifu wamekuwa mahacker tayar,, kazi bado tunayo kam asilimia me natoa 2%.