VPL: 17 January 2015 live updates

Hakika simba hatoki bila kujeruhiwa hapa the gas city wana mtwara wote kwa pamoja bila kujali tofauti zetu tumeungana ili kuhakikisha mnyama hatoki salama kwenye nyika hizi za makonde.

Njoo tupe feedback mbona umeadimika? Kimeharibika nini?
 
Nanusa harufu ya woga ishaanza kutanda. Naona mikia katikati ya miguu mpaka kifuani kwa wanyama wadogo. Mfalme wa msitu kaamka.

Mfalme wa misitu amenogewa na damu ya binadamu. Nyam nyam nyam, bado mwingine
 
Azam walikuwa wanaongoza goli moja, sijui kwa sasa matokeo yakoje.

Azam wanaongoza moja.

Hii ligi ni ya Simba na mdogo wake Azam tu.
Simba alimkabidhi Azam kombe na safari hii kaka analichukua mwenyewe.
Kama ilivyo kwa Mapinduzi Cup kama sio Simba basi anachukua Azam, habari ndiyo hiyo japo inaumiza kwa migongo wazi...
 
"Simba ya Goran ipitie mbali"

Source: Bin Zubery
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…