Hakika simba hatoki bila kujeruhiwa hapa the gas city wana mtwara wote kwa pamoja bila kujali tofauti zetu tumeungana ili kuhakikisha mnyama hatoki salama kwenye nyika hizi za makonde.
Hii ligi ni ya Simba na mdogo wake Azam tu.
Simba alimkabidhi Azam kombe na safari hii kaka analichukua mwenyewe.
Kama ilivyo kwa Mapinduzi Cup kama sio Simba basi anachukua Azam, habari ndiyo hiyo japo inaumiza kwa migongo wazi...