Volunteer kwa Aghakhan

Volunteer kwa Aghakhan

Hajto

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2013
Posts
5,652
Reaction score
5,630
Waungwana salama jamani,yapata sasa karibia mwezi 1 sasa tangu nipeleke barua ya kuomba nafasi ya kuvolunteer pale hospital ya Agakhan,wadau hapo napo vipi niendelee kuvuta subra ama nifikirie michakato mingine
 
Volunteer hachagui pa kwenda. Nenda ifakara au hydom mbulu au popote. We si unataka ujuzi au una mengine? Au kuna kitu unafukuzia au kupeleleza hapo? Hebu funguka...
 
Jaribu kusambaza barua sehemu nyingi iwezekanavyo utafanikiwa
 
waungwana salama jamani,yapata sasa karibia mwezi 1 sasa tangu nipeleke barua ya kuomba nafasi ya kuvolunteer pale hospital ya Agakhan,wadau hapo napo vipi niendelee kuvuta subra ama nifikirie michakato mingine

Kuna mtu namjua alishawah fanyaga voluntee na sasa kaajiriwa rasmi ila sijui utaratibu wao ukoje kuhusu maombi ya voluntee
 
mi nipo hapa...sema uliomba kitengo kipi? pia uje hr ufatilie..ukikaa mbali kuna wenzio wana shida zaidi yako, na wengine wanaletwa na wazazi wao...so wewe njoo ulizia mchakato upoje....
 
mi nipo hapa...sema uliomba kitengo kipi? pia uje hr ufatilie..ukikaa mbali kuna wenzio wana shida zaidi yako, na wengine wanaletwa na wazazi wao...so wewe njoo ulizia mchakato upoje....

Kuna zile mlizotangaza kwa upande wa mashule vipi kuna updates zozote mkuu
 
mi nipo hapa...sema uliomba kitengo kipi? pia uje hr ufatilie..ukikaa mbali kuna wenzio wana shida zaidi yako, na wengine wanaletwa na wazazi wao...so wewe njoo ulizia mchakato upoje....

Shukrani sana laufi, kwa msaada wako,ngoja kesho j4 saa 1 asubuhi nidamkie,nitakachojibiwa nitakujulisha
 
Unaweza nisaidia kwa nafasi walizoajiri, kwani mie niliomba nafasi ya school Secretary na nyingine moja hivi, natanguliza shukrani zangu

School secretary tayari kuna mtu mpya....... Reception wamerecruit mpya

IB coordinator na teachers in some subjects.
 
Wadau hapo aghakhan hospital tunasaidiana vipi,maana kitaa kigumu
 
Ukiwa kwenye chaka la bibi ndo ujue sasa. Ina mashule (ya msingi hadi university), iko kwenye insurance (za mali na afya) na iko kwenye mahoteli and entertainment.

endelea kulaza damu lol
Hivi Aga Khani ni kampuni yenye shule pia?
 
Ukiwa kwenye chaka la bibi ndo ujue sasa. Ina mashule (ya msingi hadi university), iko kwenye insurance (za mali na afya) na iko kwenye mahoteli and entertainment.

endelea kulaza damu lol

Ha ha haaaa aisee so kuna AK univ pia? Kweli nimezeeka, nlikuwa najua ana hospital na hotel za Serena, kumbe mweee!! Asante sana King'ast
 
Last edited by a moderator:
Hehehe. Hadi praimare ipo.
nadhani agha khan ni mchaga. Unajua duka lenye sumu ya panya, maziwa, misumari, nguo, mahindi, na majembe?
Ha ha haaaa aisee so kuna AK univ pia? Kweli nimezeeka, nlikuwa najua ana hospital na hotel za Serena, kumbe mweee!! Asante sana King'ast
 
Last edited by a moderator:
Hehehe. Hadi praimare ipo.
nadhani agha khan ni mchaga. Unajua duka lenye sumu ya panya, maziwa, misumari, nguo, mahindi, na majembe?

Kuna wachagga wenye asili ya India? Maana nilishamuona huyo jamaa kipindi nafanya kazi porini alikuja kufanya sport hunting!

Chaggaz ni noma, stoo tembo wakati duka sisimizi
 
Back
Top Bottom