Wanabodi,
Japo siku zote Nabii huwa hakubaliki nyumbani, hili nalijua na litabezwa, na nimeisha lisemea humu
TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums
Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading, ni unasikia tuu sauti inakuambia jambo fulani bila kuambiwa sababu na huwezi kuuliza, hivyo nami naomba kuwaeleza tuu sauti niliosikia na naomba msiniulize kitu kwasababu sio mimi ni sauti!.
Ndipo nikauliza ni Bunge lipi hilo la kumshitaki Rais Magufuli?, nikauliza kama ni Bunge hili hili la Mhe. Ndugai au ni Bunge lijalo?, na ndio mara ghafla nikasikia sauti from within, ikiniambia kuwa "Spika ajaye ni Mhe. Dr. Tulia Akson. Sauti hiyo ikaniambia japo Mhe. Ndugai, atakuwa anatamani sana kuendelea kuwa Spika, lakini Ndugai hatakuwa kwa sababu fulani, (japo sauti hiyo imenieleza hizo sababu za kwa nini Mhe. Ndugai hataendelea kuwa Spika Bunge lijalo, lakini sio lazima kusema kila unachosikia, kwa sababu sometimes sio kila unachosikia from within ni sauti kutoka kwa Mungu au ni maono, sauti nyingine ni sauti za shetani tuu na sio sauti za Mungu, kama zilivyo ndoto nyingine, ni ndoto za shetani kama ile "ndoto ya Lema", ukisikia sauti ukahisi inaweza isiwe sauti ya Mungu, au ukiota ndoto ya jambo la ajabu ajabu ukahisi jambo hilo sio la kheri, sio lazima uliseme).
Paskali
Mkuu mdukuzi, kwanza asante kwa bandiko hili Pasco Mayalla ana vielement vya unabii afungue kanisaNilianza kumuona miaka ile na kipindi chake cha Kitimoto.
Kupitia JF Nimekuwa nikifuatilia maandishi yake, nara kadhaa, niseme tu maandishi yake yana unabii ndani yake, orodha ni ndefu sana nikiweka hapa hapatoshi, vitu vingine huchukua miaka hata mitano kutokea, hakuna mwana JF anayemfikia kwa hilo.
Kama hana pepo wa utambuzi basi ana roho mtakatifu.
Sauti hazijasema ila trends zinanieleza Kama CCM imedhamiria kwa mgombea urais wa JMT mwaka 2025 ni lazima awe Mwanamke, then Mwanamke huyo ni Dr. Tulia, hivyo the next speaker automatically atakuwa Zungu, ila kwa my honest opinion, Zungu hafai kabisa kuwa Spika!. Vicky Kamata Anastahili Pongezi! Asimama Kidete Kupinga Uonevu, Ubabe na Double Standards za Zungu! na hapa Zungu akiuka Kanuni za Bunge kuiokoa Serikali!. Pareso ang'ang'ania Shilingi! Almanusura!Sauti ya ndani haijasema chochote khs spika 2025?..
Binafsi nakuelewa sana ila wasiokuelewa ni wale wanaosoma maandiko yako kama wanasoma gazeti,barikiwa mkuuMkuu mdukuzi, kwanza asante kwa bandiko hili Pasco Mayalla ana vielement vya unabii afungue kanisa
Naomba tulitumie bandiko hili Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke kama a litmus paper to test kama sauti hizi ni za ma pepo au ni Roho Mtakatifu!.
Angalia baadhi ya kauli umba zangu ziliumba nini na baadhi ya tabiri zangu, nilisema nini na kikatokea nini?. "Ombeni Mtapewa", "Tafuteni Mtapata", "Bisheni Hodi Mtafunguliwa" Je, Wajua Kuna "Kauli" na "Kauli Umba" Ambazo Huumba? Shuhudia
P.
Bunge letu Tukufu limefanya kosa kubwa sana kuptisha sheria mpya ya uchaguzi yenye ubatili ndani yake!., lakini pia kwa vile Spika ajae kwa mujibu wa maono haya ni Dr. Tulia Akson, hata rais akikiuka katiba, Bunge la Dr. Tulia, tena kwa kuzingatia litakuwa ni Bunge la chama kimoja CCM, litaweza kumwajibisha rais?.
Alhamisi Njema.
Paskali
Naunga mkono hoja Hongera Spika Dkt. Tulia Ackson. Kuna haja MaSpika wetu iwe lazima kuwa Wanasheria?Spika Tulia kaiva sana kwenye suala kutafiri Sheria, naangalia hapa Bunge live wanapitisha muswada wa tume ya uchaguzi naona anamtoa knout mpaka AG huyu dada ni balaa wabunge wote wanampigia makofi.
Mbeya tunasema Tulia mitano tena.
Acha kudanganya watu.Wanabodi,
Japo siku zote Nabii huwa hakubaliki nyumbani, hili nalijua na litabezwa, na nimeisha lisemea humu
TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums
Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading, ni unasikia tuu sauti inakuambia jambo fulani bila kuambiwa sababu na huwezi kuuliza, hivyo nami naomba kuwaeleza tuu sauti niliosikia na naomba msiniulize kitu kwasababu sio mimi ni sauti!.
Leo nilikuwa naangalia jinsi Bunge la Marekani, the Congress linavyomshughulikia rais wa Marekani, Donald Trump, ambapo azimio la kumshitaki kwenye Bazara la Senate limepitishwa, japo kule Senate itakuwa ni ngumu kwa azimio hilo kupata ile theluthi 2 ya kumuondoa ila kumshitaki tuu rais ni hatua kubwa.
Kuna mchangiaji mmoja akasema hata Tanzania ikithibitishwa rais Magufuli amevunja katiba kwa kuzuia mikutano ya siasa kinyume cha katiba, anaweza kushtakiwa!.
Ndipo nikauliza ni Bunge lipi hilo la kumshitaki Rais Magufuli?, nikauliza kama ni Bunge hili hili la Mhe. Ndugai au ni Bunge lijalo?, na ndio mara ghafla nikasikia sauti from within, ikiniambia kuwa "Spika ajaye ni Mhe. Dr. Tulia Akson. Sauti hiyo ikaniambia japo Mhe. Ndugai, atakuwa anatamani sana kuendelea kuwa Spika, lakini Ndugai hatakuwa kwa sababu fulani, (japo sauti hiyo imenieleza hizo sababu za kwa nini Mhe. Ndugai hataendelea kuwa Spika Bunge lijalo, lakini sio lazima kusema kila unachosikia, kwa sababu sometimes sio kila unachosikia from within ni sauti kutoka kwa Mungu au ni maono, sauti nyingine ni sauti za shetani tuu na sio sauti za Mungu, kama zilivyo ndoto nyingine, ni ndoto za shetani kama ile "ndoto ya Lema", ukisikia sauti ukahisi inaweza isiwe sauti ya Mungu, au ukiota ndoto ya jambo la ajabu ajabu ukahisi jambo hilo sio la kheri, sio lazima uliseme). Mfano ni tangu August 14, 2014 nilielezwa rais ajaye wa Tanzania ni Magufuli, na nilielezwa sababu kwanini ni Magufuli, nami nikaeleza humu lakini sikuzisema.
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli - JamiiForums
Hili la kutokusema kila unachokisikia, nimelisisitiza hapa
Swali la Morality: Je ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa? - JamiiForums
Jambo tangu baada ya Spika Sitta, trends za uspika zimeonyesha kiti cha Spika ni just one term only na term hiyo ikiisha, Naibu Spika ndio huwa Spika. Wakati wa Spika Sitta, Naibu Spika alikuwa Anna Makinda, japo Sitta alitamani kuendelea, aliwekwa pembeni, Naibu wake Anna Makinda akachaguliwa kuwa Spika. Wakati wa Spika Anna Makinda, Job Ndugai alikuwa Naibu Spika, baada ya Makinda kumaliza one term yake, Naibu wake Job Ndugai akawa Spika, hivyo trends zinaelekeza baada ya Spika Job Ndugai, automatically, Spika anayefuatia ni Naibu Spika Dr. Tulia Akson, ila hili sio bandiko la trends za uspika ni bandiko la " Voices from Within".
Hitimisho.
Hiki kinachofanywa na Bunge la Marekani kwa rais wao, jee kingeweza kufanywa na Bunge la Tanzania, suppose ni kweli rais Magufuli anakiuka Katiba?.
Hoja kama jee ni kweli rais Magufuli anakiuka katiba au laa, bado sio hoja kwasababu mamlaka peke yenye uwezo wa kutafsiri sheria kama kwa kuzuia mikutano ya siasa, rais Magufuli akiuka katiba ama laa ni Mahakama Kuu pekee, na so far hakuna mtu yoyote au chama chochote kilicho omba tafsiri ya kisheria ya uamuzi huo wa rais Magufuli kuzuia mikutano ya kisiasa kama unakiuka katiba au laa, lakini pia kwa vile Spika ajae kwa mujibu wa maono haya ni Dr. Tulia Akson, hata rais Magufuli akikiuka katiba, Bunge la Dr. Tulia, tena kwa kuzingatia litakuwa ni Bunge la chama kimoja CCM, litaweza kumwajibisha rais?.
Alhamisi Njema.
Paskali
Naomba usichanganye mambo kati ya Dr. Tulia kuwa Naibu Spika na kuwa Spika, kwenye Unaibu Spika, ni kweli JPM alihusika ila kwenye Uspika, its just a fate, JPM had nothing to do with this kwasababu he was long gone!.Acha kudanganya watu.
Tangu Magufuli amtoe tulia kutoka alikokua na kufanya michongo awe naibu spika, kila mwenyemacho alikua Tulia anaandaliwa kua spika.
Kaka umesahau kwamba hakuna mtu wa CCM ambaye angejitokeza kugombea na naibu aliye madarakani, kwani umekua utaratibu wa CCM kwamba spika akiondoka naibu anachukua.Naomba usichanganye mambo kati ya Dr. Tulia kuwa Naibu Spika na kuwa Spika, kwenye Unaibu Spika, ni kweli JPM alihusika ila kwenye Uspika, its just a fate, JPM had nothing to do with this kwasababu he was long gone!.
P
Hakuna utabiri wowote hapo, mnampa sifa zisizo mstahili.Kumbe nabii sio lazima awe na kanisa!!
Nakupa heshima ila na wewe mpeheshima Mh. Lema
Hakuna utabiri wowote uliofanya hapo, ilikuwa wazi kuwa kama Ndugai angemaliza muda wake, basi Tulia alishaandaliwa kuwa spika, ni utamataduni wetu CCM.Naomba usichanganye mambo kati ya Dr. Tulia kuwa Naibu Spika na kuwa Spika, kwenye Unaibu Spika, ni kweli JPM alihusika ila kwenye Uspika, its just a fate, JPM had nothing to do with this kwasababu he was long gone!.
P
There you are!, jee JYN alimaliza muda wake?. Soma tenda bandiko hili huki ukishirikisha critical thinking. Anza na heading tuuHakuna utabiri wowote uliofanya hapo, ilikuwa wazi kuwa kama Ndugai angemaliza muda wake, basi Tulia alishaandaliwa kuwa spika, ni utamataduni wetu CCM.
Kiukweli baadhi yetu humu hamna kumbukumbu, enzi za Spika Sitta, mzee wa Speed and Standards,SS, yeye alichukua fomu na naibu wake Anna Makinda akachukua.Kaka umesahau kwamba hakuna mtu wa CCM ambaye angejitokeza kugombea na naibu aliye madarakani, kwani umekua utaratibu wa CCM kwamba spika akiondoka naibu anachukua.
Mzee mwenzangu Sasa unaniangusha. Kipindi kile Six angeshinda Ila Makamba ndie aliyetamka hadharani kwamba safari hii tunataka spika mwanamke, kwa bahati mbaya six hakua mwanamke.Kiukweli baadhi yetu humu hamna kumbukumbu, enzi za Spika Sitta, mzee wa Speed and Standards,SS, yeye alichukua fomu na naibu wake Anna Makinda akachukua.
Jee baada ya JYN kuchukua fomu, Tulia alichukua?. Angalia tena heading yangu nimesema nini?.
Hivi kweli huamini huu ni utabiri?.
Vipi huu
Na huu
Na huu
Na huu
P
Duh hapa namchawia nani au kumkungunia nani ?Mayala umeamua kuwa "kunguni" baba?
Kweli njaa haina baunsa 🤣 🤣