Easymutant
R I P
- Jun 3, 2010
- 2,564
- 1,135
Kwa mfululizo wa takribani wiki kama mbili Vodacom imetulazimisha watumiaje wake/wasio wake kutumia huduma yao ya voice mail ambapo ukimpigia mtu simu ikiita bila kupokelewa automatically voice mail inakuwa activated na unapokata unaambiwa tayari umetumia either 23.2 Tshs (inategemea na umechelewa kukata kwa muda gani) hii haijalishi either ni mteja wa vodacom ama si mteja wa vodacom, Mfano kwa watumiaji wa Airtel ukimpigia mtu wa Vodacom baada ya mawasiliano tu airtel inakupa kimessage kuwa umetumia kiasi gani,
Huu ni wizi wa kulazimishana kulipia huduma ambayo mteja hajaiomba na kwa style hii wanavuna pesa nyingi sana kulingana na wateja walionao,
Huu ni wizi wa kulazimishana kulipia huduma ambayo mteja hajaiomba na kwa style hii wanavuna pesa nyingi sana kulingana na wateja walionao,