Ndukidi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 1,499
- 1,302
Mimi nikuhusu hii huduma ya my no1.utakuta nimetupia vocha ya 1000 kwenye simu den wananionganisha automatiki kwa kunikata 152 hivi . Cha ajabu naongea na selekted namba mpaka 747 inaisha kwa muda huo huo. Je hii haki kwely bora waitoe tu!
Kwanini usiwapigie uwaambie hutaki na ujitoe/wakutoe...?