Vodacom Wajanja Night sio unlimited tena

Vodacom Wajanja Night sio unlimited tena

Dah, vodA mnazingua... Dah, gb1 sasa mm nitafanyia nn gb1? Hata 1080p moja tu sipati... Naanza ku-doubt my future with voda...
😎😎😡😡:banghead::banghead:
 
Sijui ndio wanatukomesha!! toka juzi line yao nishaiweka pembeni.
 
Ni kweli Biblia inasema ukweli au unataka kusema inasema uongo?

Uongo mwingi mle kama unataka hiyo debate sema nikufungue macho....ya kwanza ni jua kuzunguka dunia na ilisababisha Kanisa kumuua Galileo Galilei aliyekuwa akifundisha Heresy maana kanisa lilitoa tamko enzi zile kuwa atakaye toa mafundisho ya uongo auawe mwisho wa siku Pope paul II alikuja kuomba uma msaada ....waweza google upate full story hiyo ni moja nimeitaja sababu inahusiana na Sayansi ukitaka nyingine nambie maana nimesoma THEOLOGY
 
mkuu nimekosa hata basi la kupanda, kwa sasa ngoja niende kwa miguu tu (bundle za kawaida) likipatikana basi lingine nitapanda

basi la kijani bado linatembea lakini mwendo wa kusuasua sana,mpk uwashe hazard ndo utembee kila baada ya dk kumi linazima,so unatakiwa upige tena starter
 
Uongo mwingi mle kama unataka hiyo debate sema nikufungue macho....ya kwanza ni jua kuzunguka dunia na ilisababisha Kanisa kumuua Galileo Galilei aliyekuwa akifundisha Heresy maana kanisa lilitoa tamko enzi zile kuwa atakaye toa mafundisho ya uongo auawe mwisho wa siku Pope paul II alikuja kuomba uma msaada ....waweza google upate full story hiyo ni moja nimeitaja sababu inahusiana na Sayansi ukitaka nyingine nambie maana nimesoma THEOLOGY

Jambo hilo haliwezi kuifanya Biblia nzima kuwa ni ya uongo au ni ya kusema uongo. Kama wewe umesoma theology basi isiwe shida mkuu.
 
Jambo hilo haliwezi kuifanya Biblia nzima kuwa ni ya uongo au ni ya kusema uongo. Kama wewe umesoma theology basi isiwe shida mkuu.

B4 letting it go nakosoa ...Sijasema the all thing ni myth bali there are some wrong things and Thank The son of Mary aliyafanyia Rectification in the New testament but uongo utabaki pale pale

........END.....
 
Back
Top Bottom