Vodacom Wajanja Night sio unlimited tena

Vodacom Wajanja Night sio unlimited tena

Uongo mwingi mle kama unataka hiyo debate sema nikufungue macho....ya kwanza ni jua kuzunguka dunia na ilisababisha Kanisa kumuua Galileo Galilei aliyekuwa akifundisha Heresy maana kanisa lilitoa tamko enzi zile kuwa atakaye toa mafundisho ya uongo auawe mwisho wa siku Pope paul II alikuja kuomba uma msaada ....waweza google upate full story hiyo ni moja nimeitaja sababu inahusiana na Sayansi ukitaka nyingine nambie maana nimesoma THEOLOGY

Sasa aliyemuua Galileo ni watu au biblia? Acha kurupoka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom